Mrs Besyige
JF-Expert Member
- Aug 27, 2019
- 1,040
- 2,923
bora aliachika...akawa anajilia bata huko IsraelUsikute hawa kina poshquen ndo masalia ya lilith
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
bora aliachika...akawa anajilia bata huko IsraelUsikute hawa kina poshquen ndo masalia ya lilith
Sasa Adam aliogopa nini nae? Au basi....😁Unataka uipandie kwa juu kama yeye?
ina maana Adamu hakua akijua kusex propa? hakua akijua kitu? unaachaje mwanamke kisa anataka woman on top jamani na inavyonogaga😆✋Adam asingemuacha, angekua nao wote tu.....ili dunia ichangamke zaidi ya hapa 😹, huku Lilith anamnyoosha Adam huku Eva anamtii huku mawifi na wakwe wanapelekeshwa na Lilith.
Jamani nimetamani turudi tu Eden kwakweli tukachangamshwe.
aliogopa ingekatika mayb😆Sasa Adam aliogopa nini nae? Au basi....😁
Lilith the cow girl.....🤣Kabisa twende na Lilith 🤣🤣🤣
mie ningekua team Lilith kwakweliAdam asingemuacha, angekua nao wote tu.....ili dunia ichangamke zaidi ya hapa 😹, huku Lilith anamnyoosha Adam huku Eva anamtii huku mawifi na wakwe wanapelekeshwa na Lilith.
Jamani nimetamani turudi tu Eden kwakweli tukachangamshwe.
Labda alihisi ni dhambi, akaona aende na kifo cha mende....masikini Adam atakua alikua mwanaume mpole na mtii (wale wanaume wanakuaga sio watamu)ina maana Adamu hakua akijua kusex propa? hakua akijua kitu? unaachaje mwanamke kisa anataka woman on top jamani na inavyonogaga😆✋
inasemajeIsaiah 34:14
Friends of Lilith 🤣🤣🤣mie ningekua team Lilith kwakweli
🤣🤣🤣🤣 team Lilith hafu tuko wengi sasa kizazi hikiLilith the cow girl.....🤣
hata kidogo aise hawanaga manjonjo..wanavaa trauza za vitambaa na marinda juuLabda alihisi ni dhambi, akaona aende na kifo cha mende....masikini Adam atakua alikua mwanaume mpole na mtii (wale wanaume wanakuaga sio watamu)
wewe tenaaa😆✋🤣🤣🤣🤣 team Lilith hafu tuko wengi sasa kizazi hiki
Mkuu tangu mwanzo umeshaumaliza mjadala Aamu alikuwa na wanawake wawili na uumbaji upo mara 2 kwa mujibu wa bibilia
Itakua.....sasa sisi hii mishepu ya kibantu tumeipata wapi, itakua tu kwa bi mstaarabu Eva 😹hivi eva alikua ana african shape?? weee..mbona hamsemi
Uongo. .Mkuu tangu mwanzo umeshaumaliza mjadala Aamu alikuwa na wanawake wawili na uumbaji upo mara 2 kwa mujibu wa bibilia
Mi kwa Eva sipo, bibi yangu Lilith 🤣🤣🤣wewe tenaaa😆✋
🤣🤣🤣 itakuwa mana hata babu wa kambo (Mzee Sheta) naye alikuwa analimezea mate mpk akamfundisha kuchepukaPossible Adam alifata wezere kwa Eva???
Kweli hakuna jipya chini ya jua....
Ujue kuna watu wengine wana amini kile anachokiamini yeye ndo sahihi kuliko nachoamini mimi. mfano ni kwenye hizi dini wapo waanaamini kuwa yesu ni mungu wengine hawaamini hivo. tukija kwenye mada kama wayahudi wanaamini kuwa lilith alikuwa first wife wa adamu na wana fundishana huko kwao na kuamini hivo kwaninin wewe upinge uite ni hadithi vipi kisa yona sio hadthi ile wakuu? kwa akiri ya kawaida bila kuwa na iamni za kidini unaweza amini hichi kitu kwetu?Nikifa MkeWangu Asiolewe 😆😆😆😆😆🙌🙌🙌 Id Ya kiwehu hii ..poyee..
mwanzo 1:26-27. imebeba muktadha wote wa uumbaji sehemu ya kwanza.Uongo. .
Biblia inasema katika mwanzo mbili mnayosema ni uumbaji wa pili hapakuwa na mtu wa kuilima ardhi,
Adam alikuwa wapi?
Biblia kitabi kigumu sana ukikisoma kama historiaMwanzo 1 imeeleza zoezi lote la uuumbaji mpaka ukamilifu wake, na ikaongelea uumbaji wa mwanadamu in general. Kisha mwanzo 2:4 ni rejea ya huo uumbaji uliozungumzwa kwenye mwanzo moja in details. Mbona ipo wazi kabisa mkuu.
Ngoja nikuwekee hiyo mwanzo 2 halafu nikuonyeshe rejea ilipoanza:
2. "Basi mbingu na nchi zikakamilika, na jeshi lake lote. Na siku ya saba MUNGU akamaliza kazi yake yote aliyoifanya, akastarehe siku ya saba akaacha kufanya kazi yote aliyoifanya. MUNGU akaibarikia siku ya saba, akaitakasa sababu katika siku hiyo MUNGU alistarehe, akaacha kufanya kazi yake yote aliyoiumba na kuifanya. Hivyo ndivyo vizazi vya mbingu na nchi zilipoumbwa.(HAPA BIBLIA IMEONYESHA UKAMILIFU WA UUMBAJI WA SIKU 7, BAADA YA HAPO HAPAKUWA NA UUMBAJI TENA, MUNGU ALIPUMZIKA)
SIku ile BWANA alipoziumba mbingu na nchi-
(HAPA SASA NDIPO REJEA YA UUMBAJI MWANZO 1 ILIPOANZA, NA UKIENDELEA KUSOMA ANAELEZEA UUMBAJI ULIVYOFANYIKA WA MWANAUME NA MWANAMKE, SIO KWAMBA ALIANZA TENA KAZI YA UUMBAJI, KAZI ILIFANYIKA KWA 7 DAYS IKAKAMILIKA)