Today I Learned (TIL): Adam alikuwa na Wake Wawili

Today I Learned (TIL): Adam alikuwa na Wake Wawili

Nimeelezea tayri na ukienda kusoma utaona pia..
Na biblia kutoandika siku haimaanishi kuwa haukuwepo..
Biblia ipo wazi. Tunayajadili maandishi yaliyomo humo kuwa ni kweli yalimaanisha uumbaji namba 2 kama ulivyosema?
Usisahau Kaini alipomuua HABILI alikimbilia Nchi za mbali na watu wa huko Walizuiwa Kumuua...na aliwekewa Alama ili kila mtu atakayemuua Apate adhabu..

Sasa cha kujiuliza kwanini Biblia ilijikita kwenye Adam na Eva wakati kumbe kuna nchi zingine zilikuwepo na Hata kaini alioa huko
Hii ni mada tofauti boss. Uwepo wake haufuti uwepo wa mada ya uumbaji.
 
Biblia ipo wazi. Tunayajadili maandishi yaliyomo humo kuwa ni kweli yalimaanisha uumbaji namba 2 kama ulivyosema?

Hii ni mada tofauti boss. Uwepo wake haufuti uwepo wa mada ya uumbaji.
Yah yalimaanisha uumbaji..
Angalia mpangilio wa matukio ya kiumbaji halfu niambie kama Ulikuwa Sawa...

Na ndo maana nikasema kama Utahama Hoja na kuingia kwenye Documentary Hypothesis ndo Tutaidiscuss kwa Lugha Moja mada hiyo
 
Yah yalimaanisha uumbaji..
Angalia mpangilio wa matukio ya kiumbaji halfu niambie kama Ulikuwa Sawa...

Na ndo maana nikasema kama Utahama Hoja na kuingia kwenye Documentary Hypothesis ndo Tutaidiscuss kwa Lugha Moja mada hiyo
Sasa basi usihame ili twende pamoja. Swali la kwanza la muda hukujua. Swali la pili likawa, uumbaji wa pili ulihusisha vitu gani? Kwa kutumia hiyo hiyo biblia.
 
Sasa basi usihame ili twende pamoja. Swali la kwanza la muda hukujua. Swali la pili likawa, uumbaji wa pili ulihusisha vitu gani? Kwa kutumia hiyo hiyo biblia.
Angalia Mtiriko huo wa Uumbaji..
Screenshot_20240317_112450_Biblia Takatifu.jpg

Screenshot_20240317_112503_Biblia Takatifu.jpg
 
Hujamaliza kumalizia hii hadithi vijana wa kiume/kike wanapofikia balehe lilth huwatokea katika ndoto

Vijana wa kiume huwaonyesha wakifanya tendo la jimai na Mwanamke mzuri sana (Succubuss) na kufyonza manii zao

Vijana wa kike huona wakifanya tendo la jimai na Mwanaume mzuri sana (Incubus) mpaka wanaingiziwa manii na huyo Mwanaume Shababi mwenye bonge la ndonga linalojua kusugua tupu yake vilivyo wakiwa usingizini

Na hivyo ndivyo lilth anavyojipatia watoto katika upande wake,
View attachment 2936875
Achana na hy bangi unayovuta
 
Nimekusoma mkuu. Kama unaamini lilith ni hadithi za kutungwa yaani kusadikika ili ziburudishe watu na kuwafundisha. vipi kuhusu hadithi zilizomo kwenye maandiko kama safina ya nuhu,sodoma na gomora huoni kwamba zilitungwa tu ili kutuogopesha tujue kuna moto nk? wewe una uhaakika upi kama ni kweli yaliyo andikwa kwenye vitabu? je unaamini mohamedi alienda hadi wingu ya saba kwa mungu na akarudi?
Nikifa MkeWangu Asiolewe 😆😆😆😆😆🙌🙌🙌 Id Ya kiwehu hii ..poyee..
 
😆😆😆🙌🙌 vinge vingiii..atakua alikua ama.macho mazuri kama uwoya mayb fullnyodo
Adam asingemuacha, angekua nao wote tu.....ili dunia ichangamke zaidi ya hapa 😹, huku Lilith anamnyoosha Adam huku Eva anamtii huku mawifi na wakwe wanapelekeshwa na Lilith.
Jamani nimetamani turudi tu Eden kwakweli tukachangamshwe.
 
Hujamaliza kumalizia hii hadithi vijana wa kiume/kike wanapofikia balehe lilth huwatokea katika ndoto

Vijana wa kiume huwaonyesha wakifanya tendo la jimai na Mwanamke mzuri sana (Succubuss) na kufyonza manii zao

Vijana wa kike huona wakifanya tendo la jimai na Mwanaume mzuri sana (Incubus) mpaka wanaingiziwa manii na huyo Mwanaume Shababi mwenye bonge la ndonga linalojua kusugua tupu yake vilivyo wakiwa usingizini

Na hivyo ndivyo lilth anavyojipatia watoto katika upande wake,
View attachment 2936875
Hii chai 🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom