mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
Ndio Bob, ninao.Eti mkuu wewe unao marafiki wa kike? 😁
Nikisema siwatamani nitakuwa nadanganya lakini najizuia kwasababu tunasaidiana mengi ya muhimu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio Bob, ninao.Eti mkuu wewe unao marafiki wa kike? 😁
Kwaiy mkuu unatamani ila unajikaza tu, vyema sana msingi ni kulinda heshima na nidhamu.Ndio Bob, ninao.
Nikisema siwatamani nitakuwa nadanganya lakini najizuia kwasababu tunasaidiana mengi ya muhimu.
Maigizo yana mwisho mkuu, pia nilisema wanawake wanao jitambua sio wenye tamaa za macho.achana na wasifu, mapenzi ni hadidhi za kisanii tu, jua kuigiza fake life ifanane na ukweli!
Vipo vingi tuKwakweli HAKUNA 😹
Tafuta pesa jenga wasifu hakuna kingine kinachoingia hapo. Ukiwa navyo hivyo umemaliza kila kitu
Ila pesa ndiyo key point.....
yes yanamwisho, lakini mtaanza upya kuwa halisiaMaigizo yana mwisho mkuu, pia nilisema wanawake wanao jitambua sio wenye tamaa za macho.
Uhalisia ukianza ndyo mwisho wa uhusiano, kondoo anageuka chui na njiwa anakuwa kunguruyes yanamwisho, lakini mtaanza upya kuwa halisia
Kwa maanaha hiyo sisi ambao ni makauzu tunachukua point tatu muhimuPunguza kuongeaongea sana mwanaume kuwa na mdomo mdomo hatumpendi sisi wanawake
Uwepo available kwajili yake sio uache kazi zako lakini jitahidi hata uwe na muda nae ukishindwa kabisa kuonana nae basi hata simu upige sio busy na kazi tuMkuu naomba ufafanue kidogo hapo kwenye muda hasa kwa watu ambao hawana mahusiano bado, kwamba mwanaume akionesha kutoa muda wake inaweza ikawa sababu ya kujenga ushawishi kwa mwanamke?
Sasa km vipo ulituuliza ili iweje?Vipo vingi tu
Hii asipokupenda atakuita msumbufuKujali,kumweka first before others
Mwili wa kiume kakamavu usio rojo
Mwanaume asiye mwongeaji au mjuaji sana
Mwanaume mwenye kupenda kweli kiasi kwamba anaweza kumtoa mpenziwe gizani na kumweka nuruni(I mean mwanaume anayeweza pambana kumrekebisha mpenziwe kitabia mpaka wakaendana badala ya kuhukumu na kukimbia)
Ila pesa ndiyo key point.....
Ni kweli kabisaHii asipokupenda atakuita msumbufu
Wanawake wengi wanapenda sana wanaume wanaojiamini.Wengine wanavutia wanawake wengi ambao hata hawafahamiani kwa kina mfano strangers tu
Niliuliza ili wengine waseme wanayo fahamuSasa km vipo ulituuliza ili iweje?
Kweli kabisaWanawake wengi wanapenda sana wanaume wanaojiamini.