Tofauti na tafsiri ya kula na kulishwa nyama ndotoni

sasa kama ikitokea umeshalishwa ama kuwekewa hayo mavitu huko tumboni unaweza ukayatapika ukitaka?
na njia ipi inaweza saidia kwa haraka kuyaondosha mkuu.
 
Daaah
 
Mshana, vp ukiota unataka kulishwa kucha na ukakataa kwa kuzitema na kushtuka kutoka hyo ndoto
 
Duu ungezila ungeugua vichomi visivyo na tiba ama kukabwa na kitu kooni

Na baada ya hapo nilivyolala tena nikawa kama nakabwa zaid ya mara mbili nzima, mara ya kwanza nlshtuka nikaomba na kulala. Nikakabwa mara ya tatu na kuamka na kuanza kusali kisha nkachukua na bibilia kuiweka kando ikawa afadhar, hii hali ipoje kwamba zoezi la kucha lilivyoshndkana wakawa wanajarb njia nyngne au?
 
Ilikuwa ni lazima wakamilishe zoezi lakini ikishindikana... Imani yako imekuokoa...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…