Yeap Ruby ni miongoni mwa wasanii wa kike ninaowakubali sana kwa sauti na uimbaji wao.Hapana sio kweli....msanii mwenye sauti nzuri na vocal Kali ni ruby na hata kwenye interviews nyingi walizofanya wasanii wengi wa kike walipoulizwa wote walikiri kuwa Kwa ruby hawaoni ndani...ruby anauwezo wa kuimba tunes ya chini kabisa ambayo wasanii wengine hawawezi kuifikia na anaimba tune ya juu (base) ambapo sio kitu Cha kawaita katika sauti...
Chemistry yao ni bomba sana.Kumbe tupo wengi tunaielewa matozo,
Sema ana chemistry na Rama Dee wana nyimbo kama Suluhu, Unione, hiyo Matozo na my fav ni I found Love..!!
Ingia gugo uipakue mkuuIpi hiyo mkuu..?
AsanteHicho ndicho kilichoandikwa kwenye tittle ya Uzi huu....imeongeleea sauti kwanza sio
mrejesho uhusike pia.Ok mkuu ngoja nikaichungulie gugo.
Ngada imemuharibu Ray C angefika mbali, Jaydee anaimba kama anaimba kwaya.Ni kwakua Ray c alikosa nidhamu tu ya maisha ila Jaydee hakuwa anaingia kwa kiuno bila mfupa
Wewe una wivu binafsi Zuchu anatoa hit song nyingi sukari, chechen, utaniua, fire baada ya hizo ngoma wakasema hatotoa Tena mbona Kali kama sukari lakini akajakuprove na Kwikwi ikahit Sana ebu mpe bidada maua yake ngoma zinapendwa Sana kuliko msanii yoyote vile ningekuelewa hoja yako kama angekuwa anatoa ngoma mbovu alafu anatambaZuchu anabebwa zaidi na mazingira ya sasa ya mziki kama vile YouTube, wasafi, na ukizingatia suppoter kubwa anayoipata kwa Diamond, mama yake Hadija Kopa nk.
Ila bila hivyo angekuwa hamna kitu.