Baraka21
JF-Expert Member
- Mar 15, 2021
- 1,262
- 3,184
Dr. Bashiru alisema Hangaya hana sifa hata nusu za kuwa rais akatumbuliwa. Ona sasa ana shinda angani na rubani wake mtoto wa Mwakasege.Ukisema Ikulu ya Tanzania kwa sasa utakuwa unamaanisha wapi boss? DOM au DAR? Kwani Chifu yuko wapi? Mara ya mwisho alikuwa Dom, keshageuza kwani.
Yajayo yanafurahisha.