Tony Blair amefuata nini Tanzania?

Tony Blair amefuata nini Tanzania?

Sasa sio ufisadi nini acha ukilaza kijana ,tukokulipa kodi huko ulaya au wakati wa awamu ya tano ilikuwa noma

USSR
Anabisha wakati hata maana ya ufisadi hajui!
 
Blair alishatuuzia Rada kwa Bei kubwa kisa analinda ajira za watu wake 200 mpaka mawaziri was huko wakajiuzulu kwa uchungu lakini leo amegeuka kipenzi Cha watanzania
 
Kwa hiyo, Blair hana marafiki dunia nzima hadi umtaje ni rafiki wa Rais wetu? Why not rafiki wa Kagame, US na kwengine? Pili, ripoti ya Pandora inauhusiano wowote na kilichomleta nchini?

Tatu, hebu twambie ambacho Blair amechukua nchini? Umefika wakati sasa tuache mijadala ya ovyo na isiyokuwa na heshima kwa nchi yetu.
 
Ukishakua mpinzani sio lazima ujitoe ufahamu... You should use it all the time
 
Tena kimsingi sio kwamba amekwepa kodi

Naruadia, kama lugha inakupiga chenga, uwe unatumia angalau dictionary!!

Kilichotokea ni kwamba, Tony Blair amenunua shares za kampuni iliyopo/iliyosajiriwa Virgin Island!!

Hiyo kampuni inamiliki nyumba tajwa !!

Kwavile Blair amenunua shares za hiyo kampuni, automatically anakuwa mmiliki wa hiyo nyumba!!

Sasa basi, Virgin Island, kama zilivyo sehemu zingine kama hizo, yenyewe ni Tax Heaven!!

Na kwavile Blair amenunua kampuni kutoka tax heaven area, it means hakulipa kodi yoyote, na sio kwamba amekwepa bali ndo sheria zenyewe za Virgin Island!!
Bravo..
Mkuu wewe ni kichwa sana... nilikosea tu muda wa kuweza vizuri..
Wana If ni wavivu wa kusoma
 
Mkuu .
Wamesema kuwa Blair alinunua nyumba bila kulipa kodi kwa kutumia loophole ambayo ipo kisheria

Alinunua kampuni ambayo inamiliki hio nyumba automatically property ikawa yao.
Angekuwa mwananchi wa kawaida angelipa hio kodi.
Kisheria zao za tax hana kosa

Jamaa anapotosha dhahir kwa chuki zake tu
 
Mleta uzi uelewa wake wa lugha ya malkia ni finyu kama mwendakuzimu.
Misukule ni misukule tuuu.
 
Yani mtu aliemkufa miaka 5 nyuma akifufuka leo aone viongozi wa dunia wanavyovaa mabarakoa atashangaa Sana
Ndio vzr mficha maradhi kifo humuumbua. Covid 19 [emoji106][emoji106][emoji106][emoji106]
 
Na hiyo manake nini? Ndo uzalendo huo kiongozi kukwepa kodi?
nimefuatilia pia hizo Pandora leaks, hamna ufisadi wa Blair ulotajwa mle zaid ya kutokulipa cooperate tax which also is okey kwa mujibu wa sheria na namna manunuzi yalivofanyika…Soma tena mkuu labda tukushauri tena.
 
View attachment 1957478

Waziri Mkuu wa zamani wa Uingereza Tony Blair ameonekana kwenye Ikulu ya Tanzania akizungumza na Rais Samia Suluhu , tunashukuru sana kwa Mkubwa huyu kutukumbuka .

Swali ni hili , Amefuata nini ?
Ni bora umelishikia bango wewe maana kwa wengine wanapuuzwa muda ni mwalimu wa kila kitu AIBU KUBWA INAENDA KUIKUMBA TANZANIA na itaibua mgogoro baina yake na wananchi
 
nimefuatilia pia hizo Pandora leaks, hamna ufisadi wa Blair ulotajwa mle zaid ya kutokulipa cooperate tax which also is okey kwa mujibu wa sheria na namna manunuzi yalivofanyika…Soma tena mkuu labda tukushauri tena.
1633338893194.jpeg




 
Yani mtu aliemkufa miaka 5 nyuma akifufuka leo aone viongozi wa dunia wanavyovaa mabarakoa atashangaa Sana
Nchi kama China barakoa kwao ni kawaida hata kabla ya Corona.
Ni waoga sana wa magonjwa ya kuambukizwa kwa njia ya hewa,, nadhani mafua ya ndege yamepelekea hiyo tabia.
 
Back
Top Bottom