Top 10 Best secondary schools of all time in Tanzania

Top 10 Best secondary schools of all time in Tanzania

Shule nzuri ni za ROMAN CATHOLIC seminaries na kwa sasa the best ni Queen Of Apostrophies Seminary iliyopo Ushirombo,mkoa mpya wa Geita.

hujui unenalo na hujui seminaries.....hivi hapo ni apostrophies co...ha ha ha pia unataka tujue pia kuna shule ya namna hiyo
 
nyie wote mnaonekana voda fasta divisheni yako I Point 7F4 au 3 F6 ni sawa na div 3 za miaka ya 2000 kurudi nyuma!


nyie mnasoma basi? au mnakaririshwa. Tafakarini chukua hatua. nafundisha chuo kikuu kimoja hapa TZ, ndg wanafunzi

wetu someni achaneni na dot com, Aliyetaja GPA Kubwa hapo juu! division na gpa zetu hazina lolote.


wewe mwanafunzi unatokea mzumbe, au feza, chuo unapata shida ya nini, kama kweli ulisoma vizur . unafaulu sawa na


wa shule za kata wapi na wapi?
hata ww mwl.chuo kikuu...aiseeee kweli tatizo..
 
Me nlianza advance shycom na nkamalzia umbwe af nlikuwa na mrembo anasoma weruweru naona huzijui hz shule wewe.
 
huyu tamaa wa leo leo hivi feza, sijui marian unaweza cnmpare na shule km Tosamaganga, box 2 pale songea aka songea boys? Pugu enzi hizo? Tabora boys? Ilbolu? Dogo bd sana wewe
 
hujui unenalo na hujui seminaries.....hivi hapo ni apostrophies co...ha ha ha pia unataka tujue pia kuna shule ya namna hiyo
Tusiandikie mate na wino upo,refer kwenye performance ya form four kwa miaka 4 iliyopita,top ten shule zenye wanafunzi chini ya arobaini na jibu utalipata,for your information mtihani wa mwaka juzi ilikuwa ya nne kitaifa na mtihani wa mwaka jana pia ilikuwa ya nne sasa what other proof do you need dogo?
 
Tusiandikie mate na wino upo,refer kwenye performance ya form four kwa miaka 4 iliyopita,top ten shule zenye wanafunzi chini ya arobaini na jibu utalipata,for your information mtihani wa mwaka juzi ilikuwa ya nne kitaifa na mtihani wa mwaka jana pia ilikuwa ya nne sasa what other proof do you need dogo?
ah ah ah ah nilisomaga na watu wawili waliotoka shule hiyo ambao wamemaliza philosophy kibosho...walikujaga pale st.james aisee hilo group la chini ya wanafunzi halinaga hushindani sana aisee...huliza uambiwe kijana te te te.
 
Usishangae Mwanaasha kufeli !!
Unaweza ukapenda sana kusoma ila ujinga ukakupenda zaidi !!
 
Tabora boys. Imefulia we ulo wapi? na kilakara zamani sasa hivi sio sana. Halafu we umeandika kutokana na matokeo ya o-level. Kwa advance hapo zingine top ten haziingii. Mf. Kuna Dakawa, Marangali. N.k hizi zipo juu kuliko Tabora na Kilakala ambazo zinafunikwa hata na Ifakara girls
 
Ilikuwa aibu kusema unasoma shule ya private?

Ndiyo kwanza nayasikia leo hayo maana mimi nimesoma private na sijui hata mmoja niliyesoma naye ambaye alikuwa anaona aibu.

Ndiyo. Nafasi za kusoma kwenye shule za serikali zilikuwa ni nyingi mno na zinatosheleza mahitaji ya waliokuwa wanafaulu na hata kubaki. Hivyo serikali ilikuwa inachukua wale waliofaulu tu bila kujali kuwa nafasi zimejaa ama la.

Mbali na hivyo, elimu nzuri sana na bora kipindi hicho ilikuwa inatolewa kwenye shule za serikali na ilikuwa ni bure, wakati kwenye shule za private ilikuwa ni duni na ya kulipia.

Hiyo ukiona enzi hizo mtu kasoma private unajua kuwa alikuwa ni "reject" kwenye shule za serikali, mtu ambaye hakufaulu kiasi cha kuweza kutochukuliwa kuendelea na masomo ya sekondari kwenye shule za serikali, pamoja na kuwa nafasi zilikuwa zipo wazi kwenye shule hizo. Upo mpaka hapo?
 
Back
Top Bottom