Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shule nzuri ni za ROMAN CATHOLIC seminaries na kwa sasa the best ni Queen Of Apostrophies Seminary iliyopo Ushirombo,mkoa mpya wa Geita.
hata ww mwl.chuo kikuu...aiseeee kweli tatizo..nyie wote mnaonekana voda fasta divisheni yako I Point 7F4 au 3 F6 ni sawa na div 3 za miaka ya 2000 kurudi nyuma!
nyie mnasoma basi? au mnakaririshwa. Tafakarini chukua hatua. nafundisha chuo kikuu kimoja hapa TZ, ndg wanafunzi
wetu someni achaneni na dot com, Aliyetaja GPA Kubwa hapo juu! division na gpa zetu hazina lolote.
wewe mwanafunzi unatokea mzumbe, au feza, chuo unapata shida ya nini, kama kweli ulisoma vizur . unafaulu sawa na
wa shule za kata wapi na wapi?
Lyamungo chama kubwa
Tusiandikie mate na wino upo,refer kwenye performance ya form four kwa miaka 4 iliyopita,top ten shule zenye wanafunzi chini ya arobaini na jibu utalipata,for your information mtihani wa mwaka juzi ilikuwa ya nne kitaifa na mtihani wa mwaka jana pia ilikuwa ya nne sasa what other proof do you need dogo?hujui unenalo na hujui seminaries.....hivi hapo ni apostrophies co...ha ha ha pia unataka tujue pia kuna shule ya namna hiyo
ah ah ah ah nilisomaga na watu wawili waliotoka shule hiyo ambao wamemaliza philosophy kibosho...walikujaga pale st.james aisee hilo group la chini ya wanafunzi halinaga hushindani sana aisee...huliza uambiwe kijana te te te.Tusiandikie mate na wino upo,refer kwenye performance ya form four kwa miaka 4 iliyopita,top ten shule zenye wanafunzi chini ya arobaini na jibu utalipata,for your information mtihani wa mwaka juzi ilikuwa ya nne kitaifa na mtihani wa mwaka jana pia ilikuwa ya nne sasa what other proof do you need dogo?
hata ww mwl.chuo kikuu...aiseeee kweli tatizo..
Ilikuwa aibu kusema unasoma shule ya private?
Ndiyo kwanza nayasikia leo hayo maana mimi nimesoma private na sijui hata mmoja niliyesoma naye ambaye alikuwa anaona aibu.