Top five ya wasanii wakali wa Hip Hop Tanzania

Mitindo huru ni nguzo ya hiphop,uwezi kuwa best mcee kama hauwezi kufree style. Wasanii wengi wa hiphop hawawezi kufree style,wanarudia nyimbo walizotunga.
Kama ni hivyo basi hapo kwenye list yako haukutakiwa kumuacha chid benz.
 
1. Buu Nako
2. Chindo Man
3. Joh Makini
4. Fid Q
5. Lord Eyz
The best hip hop rappers.
 
Darasa na Ali Kiba hawana tofauti ya uimbaji. Darasa haimbi hiphop.
kuna cku nilishawai huliza humu ili ku kujua kama huu mziki wa hiphop tunangalia nn??mdundo au mashairi ya iyo nyimbo??darasa ile anayoimba c hiphop.

kuna mmoja aliniambia hiphop cm mziki ni utamaduni sasa kama co mziki ni utamaduni mbn unawekwa kwnye categor za tunzo mbalimbali???
 
Nawasiwasi na ufahamu wako wa akili
Wasalimie milembe et young kila umweke levo za kina Roma na Job makin

Ahsante kwa kubadlisha usiku kuwa mchana

Iman yako imekuponya
 
Mkuu,nimewasikiliza sana. Niki mbishi,zaid,maalim nash,sterio na songa.
Mkuu na we hujielew songa pale anaimba nn cjsona hiphop anayo imba songa Bali yeye anaongea a.k.a anasimulia ndo hip hop gan iyo mkuu jielewe bas
 
Kaka wanaojinasibisha na hip hop na mambo mfano wao kwa kutumia tamko zuri la "Mashairi",bila shaka wanalishusha hadhi tamko hili.Kwangu nawapa udhuru sababu hawajui wayasemayo.Nimegusia nukta yangu hii kutokana na kauli yako isemayo "mdundo au mashairi ya iyo nyimbo".

Ninasema mimi ya kuwa "LAITI WATU WA MUZIKI WANGEKUWA WANATUNGA MASHAIRI,MUZIKI USINGEKUWEPO".

Ushairi ni elimu.Huwa nachukia sana kuhusishwa ushairi na mambo ya kishetani kama haya yaani muziki.
 
Darasa sio wa Mwanza Mkuu Kwao ni Tabora ila kakulia dar Kiwalani
 
1 .Sugu
2.Prof.J
3.J nature
4.Mkatolic
5.Darasa
6.N.Mbishi
7. Solo thang
8.Izzo
8.Kara Jeremiah
9.Mgosi
10. Izzo busness
 
MwanaFA anachana hip hop?naona vinaja mnafurahisha,huyo Darasa ni chipukizi.rudi shule mleta mada
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…