Top five ya wasanii wakali wa Hip Hop Tanzania

Top five ya wasanii wakali wa Hip Hop Tanzania

#1. Chindo a.k.a Umbwa

#2. Fid q

#3. Sugu

#4. Solo Thang

#5. Songa


Wasanii mabingwa wa kuunga unga

#1. Stamina

#2. Joh Makini

#3. Roma

#4. Niki wa 2
 
Hizo list panga mpangavyo lakin nimuone chemical humo ndo tutaelewana.
 
Hii apa
Chindo man
Nash emc
kimbunga mchawi
P mc
Nikk mbishi zoan...a.k.a babu bomba..a.k.a dynamites...a.ka sharktopas..
 
#1. Chindo a.k.a Umbwa

#2. Fid q

#3. Sugu

#4. Solo Thang

#5. Songa


Wasanii mabingwa wa kuunga unga

#1. Stamina

#2. Joh Makini

#3. Roma

#4. Niki wa 2

Kubwa lao hapo ni Stamina,
Mara George karudi Bush-Jamaa anaunga unga sana labda ndio style yake na anaona watu wanamwelema vyema.
 
Mi naona mc bora ni yule anaefanya mziki unaopendwa na unamlipa
 
Hakuna kama Roho 7
"Sawa wanapata pesa, vipi kuhusu wadogo zetu nao wanafaidi anasa itadhuru zaidi ya Kansa"-Nakupenda hip hop.

Roho 7 Jamaa alikuwa vyema sana aisee,Heshima kwako popote alipo.
 
"Sawa wanapata pesa, vipi kuhusu wadogo zetu nao wanafaidi anasa itadhuru zaidi ya Kansa"-Nakupenda hip hop.

Roho 7 Jamaa alikuwa vyema sana aisee,Heshima kwako popote alipo.
Jamaa asingeingia jeshini angekuwa Noma sana, yani level za akina kendrick lamar wa bongo
 
Kwanza nataka mjue kuwa kuna tofauti kubwa kati ya hiphop na rap. Ukiwasikiliza hawa wasanii unaweza kudhani wanafanya mziki wa aina moja.

Wanaofanya real hiphop ni Roma Mkatoliki na Stamina. Hao kina fid Q na Jay wao wanafanya Rap. Unajua mara nyingi hip hop inagusa maisha halisi ya mtu. Mara nyingi huwezi kukuta hiphop ipo kwenye mashwala ya mapenzi.

Kwa bongo hiphop ipo Arusha na morogoro. Ingawa kwa dsm wapo wachache wanaojaribu kufanya hiphop ingawa wakati mwingine wanatoka kwenye mstari.
Kwangu wanaofanya hiphop ni
1. Stamina
2. Roma Mkatoliki
3. Afande Sele
4. Ney wa Mitgo ingawa huyu anatoka nje ya mstari.
5. Kala jere100.
6. Madee
Wanaofanya rap wapo kibao.
1. Jay
2. Fid Q
3. Nikki Mbishi
4. Jay moo
Na wengine wa aina hiyo.
WEWE HAMNA KITU UNAJUA.
 
Hip hop ni aina ya muziki unaoelezea aina ya usanii na utamaduni uliyotokana na jamii ya Wamarekani Weusi na Walatino kunako miaka ya 1970 mjini New York City , hasa katika
kitongoji cha Bronx.
DJ Afrika Bambaataa alieleza kwa
muhtasari wa nguzo nne za utamaduni wa Hip hop: U-MC , U-DJ, breaking na
uandikaji wa graffiti.
Elementi nyingine ni pamoja na
beatboxing .
Uenezi
Kwa vile imeibukia kutoka mjini South Bronx , utamaduni wa Hip hop umeenea
dunia nzima.
Muziki wa hip hop awali ulianzishwa na Ma-DJ waliokuwa wanatengeneza midundo kwa kutumia mtindo wa kurudirudia na kusimama (hasa katika visehemu vidogo vya muziki wa kusisitiza mwelekeo wa kigongoma) b turntable mbili, hasa hujulikana kama kusampo muziki.
Hii baadaye ikaja kusindikizwa na "rap", mtindo wa wizani unaotoa maneno au mashairi yaliyo kwenye vipimo vya mstari ulalo wa nota 16 katika fremu ya muda, ikiwa sambamba na beatboxing, maujanja ya sauti hutumika hasa katika kugezea mfumo wa midundo na elementi za muziki mbalimbali na mautundu na vionjo kadhaa kutoka kwa Ma-DJ wa hip hop.
Muundo kamili wa kudansi na staili kadha wa kadha za mavazi zimezua mashabiki miongoni mwao katika muziki mpya. Elementi hizi zimeonesha mabadiliko ya na maendeleo kadha wa kadha katika historia ya utamaduni huu. Baadhi ya miziki ya hip-Hop hutoa maelezo ya kisiasa.
Mahusiano baina ya graffiti na utamaduni wa hip hop unatokana mionekano mipya tofauti iliyoongeza ufafanuzi wa kina na uenezi tofauti wa kivitendo ambapo kwingine walichukulia elementi ya hip hop kama sehemu ya sanaa, kukiwa na mpitilizo mkubwa baina ya hao wanaondika graffiti na hao wanaotenda elementi zingine za hip hop kivyao. Leo hii, graffiti imebakiwa kuwa sehemu ya hip hop, wakati kwa upande wa sanaa imechukua eneo kubwa katika masuala ya picha na michoro katika maeneosho mbalimbali duniani kote.
Uko sawa mkuu. Vizuri sana!
 
Jamaa asingeingia jeshini angekuwa Noma sana, yani level za akina kendrick lamar wa bongo
Hakika jamaa alikuwa anatisha,
Hivi taarifa hizi za kuwa yupo Jeshini ni za kweli maana huwa nazikia sana?
 
Back
Top Bottom