Toyota Crown Athlete - ‘the Japanese Benz’

Altezza 3sge manual ni gear 6 ndio maana ina mwendo kuliko 4gr na 3sge auto,ila kwenye 3gr inakaa na gear zake 6 kwenye 2gr ndio asithubutu kusogelea
 
2GR kiboko yake majesta[emoji28]

Kila mnyonge na mnyonge wake

Hivi kwa barabara zetu bongo unafika 260km/hr?
Sijaona vipande virefu utamaintain hyo speed hata dakika 5 mfululizo[emoji28]

Nkiwa 180 tu naona naelea vipi huko 260[emoji119][emoji119]
Kuna gari hapa hapa Dar inakufutia hiyo 260, barabara ya M.city.

Pia Majesta inaachwa na Crown 2gr. Usione Majesta ina cc kubwa kuliko grs 204 kwa ground vitu ni different.
 
Altezza 3sge manual ni gear 6 ndio ina mwendo kuliko 4gr na 3sge auto,ila kwenye 3gr inakaa na gear zake 6 kwenye 2gr ndio asithubutu kusogelea
Kwenye 2gr nakubali. Kwenye 3gr kama unataka kuona kwa vitendo ikipokea kibako niambie niku_hook up na Mwana ushuhudie kwa macho yako.
 
Altezza 3sge manual ni gear 6 ndio ina mwendo kuliko 4gr na 3sge auto,ila kwenye 3gr inakaa na gear zake 6 kwenye 2gr ndio asithubutu kusogelea
Advantage sio kuwa na gear 6 maana hiyo hiyo 3s yenye gear 6 inaliwa na tezza is300 yenye gear 5. Advantage hapo ni clutch tu.
 
3s yangu inakufa taratibu,nairekebisha iweze kunisitiri wakati najipanga nichukue 3s gte

Hiyo injini huwezi kuipata kwa kuagiza ujue itabidi uifunge turbo 3s ambayo ilikuwa haina turbo. Na gharama yake sio mchezo.
 
Inakufa vp mzee? Unatumia oil gani yenye viscocity gani? 3s oil yake ni synthetic we usije ukawa unaitia 20w50 kama 1G😅
Ilikata timing belt ikaenda kupinda valve 4,so nahisi fundi akuirudishia vizuri maana ananishawishi ninunue engine nyingine baada ya hii kukosa nguvu ikitembea umbali flan,anadai piston ring zimekufa,ajabu shida imeanza baada ya yy kurudishia valve na anadai oil inapanda hadi kwenye injector na exhaust,so nikaita fundi mwingine kaaingalia kadai alichoona yeye inavujisha sana kwenye pulley ya cam shaft gari haina oil na hata new timing belt imeloa oil,ila engine aitoi moshi na inatoa hadi maji kweny exhaust,hii issue yote inatokea ikiwa mimi sipo dar,so nikirudi huku mkoa ndio nitajua naanzia wapi 😀,but mpk naondoka gari ilikua poa tu,ilipaki karibia miezi 4 dogo siku hiyo apigie misele ikamtikitikia timing na shida ikaanzia hapo
 
Pole sana Mkuu. Ifanyie tu overhaul mkuu. Uzuri wa 3sge inakubali overhaul.

Hilo jambo huwa naombea sana lisinikute maana 3s ujinga wake kwenye timing belt pale kuna cover la plastic kwahiyo huwezi kuuona mkanda kama ushaanza kuchoka. Nitaubadilishaga kabla hata km zake hazijafika maana 3s kutoka Dubai sasa hivi ni mil.3.
 
Overhaul ya 3sge kwa mafundi wetu ni kama kucheza kamari ndio maana nataka inisitiri mjini nikiendelea kuitumia huku nikijipanga kuswap engine nyingine
 
Overhaul ya 3sge kwa mafundi wetu ni kama kucheza kamari ndio maana nataka inisitiri mjini nikiendelea kuitumia huku nikijipanga kuswap engine nyingine
overhaul kit nunua mwenyewe. Ukifungiwa za kichina ndo inakuwa kamari. Ndio maelekezo nilipewa kuhusu overhaul.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…