Ikishakuwa grs204 ina 2gr
Ikiwa na 3gr hiyo ni grs 202
4gr ni grs 200
Na ikiwa na 2gr inakuwa na gear 8
Haina noma mkuu😂😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] maelewano tu boss. Nimeshaichoka. Kama bibie akisomeka njoo tu PM tuyajenge
Yess....ni 2jzbrevis yenye 300i inatumia 2jz na sio 2gr mkuu kama sijakosea.. hiyo 2gr ipo kwenye crown, mark x, vanguard, Kluger new etc
Ok. Zipo na zenye gear 8. Hii ya gear 6 huenda ina mfumo wa all wheel drive.nimesoma sehemu nimeona hata hizi zenye 2gr Zina 6 gears mkuu + 1 reverse
181 inakuja na 4gr kama ilivyo kwenye 180 na 183 inakuja na 3gr kama ilivyo kwenye 182. Nadhani hizi ni variants ambazo zina mfumo wa all wheel drive.Haya turudi kene hizi zetu
GRS180__ 4GR
GRS 181__
GRS 182__3GR
GRS 183__
GRS 184__2GR
Hizi 181/183 zinakua na option ipi mwenye kuzifaham
Nasikia kuna moja ni iFour 4WD
Ni dhambi kutoitaja Toyota Supra hapo kwenye gari zinazokuja na 2jz gte. Hiyo gari ndo yenye injini yake hiyo.Sema 2JZ-FSE haina maajabu horspower zake kama 4GR tu. Yenye balaa ni 2JZ-GTE humo ndio umeme ambapo haifungwagi kwenye brevis hio Engine zaidi ni Aristo na Crown Athlete V na baadhi ya Chaser kama ile Tourer V zilikuwa zinafungwa hio engine.
Eeh Supra babalao kwa kweli,Ni dhambi kutoitaja Toyota Supra hapo kwenye gari zinazokuja na 2jz gte. Hiyo gari ndo yenye injini yake hiyo.
Eeh hio LFA ni mziki mwengine, 2JZ-GTE ikichokonolewa inazalisha 800HP easily. Kuna turbo ukifunga tu inazalisha 2 times stock horspower. So still 2JZ ni mashine ya karne.Kuna umeme unaitwa Lexus LFA, hapo Supra haigusi huo moto. Engine ni v 10, 1LR V10 hio ni 550 hp, ni collabo ya Yamaha na toyota, lakini najua 2jz-Gte ikiwa tuned sijajua inakuwaje, lakini kwa stock hata GTR Nissan inakaa kwa Lexus LFA.
Hii gari tutaishia kuiona kwenye picha Tu kama hiviKuna umeme unaitwa Lexus LFA, hapo Supra haigusi huo moto. Engine ni v 10, 1LR V10 hio ni 550 hp, ni collabo ya Yamaha na toyota, lakini najua 2jz-Gte ikiwa tuned sijajua inakuwaje, lakini kwa stock hata GTR Nissan inakaa kwa Lexus LFA.
Hapana! , hizi gari Africa tutazivuta tu, makampuni mengi ya magari yametangaza ku stop kuzalisha gari zinazotumia mafuta na kuzalisha zinazotumia umeme tu, kufikia mwaka 2040 karibu kampuni zote zitakuwa zimeswitch.Hii gari tutaishia kuiona kwenye picha Tu kama hivi
Huyu mnyama anapokuwa wa kipekee ni uwezo wake kukubali boosts katika hali ya juu kwa modifications ndogo, 2jz ni engines ngumu sana kitu kinachopelekea ku withstand high boost pressure bila ku blow. ngoma ni fully iron block engine wahuni wanaipiga compression ratio kubwa mno and boost it to hell na mashine inaitika.Eeh hio LFA ni mziki mwengine, 2JZ-GTE ikichokonolewa inazalisha 800HP easily. Kuna turbo ukifunga tu inazalisha 2 times stock horspower. So still 2JZ ni mashine ya karne.
Ila kwa nchi yetu ya giza unacheza nayo tu like hell. Hamna mtu anafatilia mambo ya emissions.Huyu mnyama anapokuwa wa kipekee ni uwezo wake kukubali boosts katika hali ya juu kwa modifications ndogo, 2jz ni engines ngumu sana kitu kinachopelekea ku withstand high boost pressure bila ku blow. ngoma ni fully iron block engine wahuni wanaipiga compression ratio kubwa mno and boost it to hell na mashine inaitika.
Lakini kwa sasa kuna technology kama turbocharging systems, direct injection, variable valve timing n.k hii inapelekea engine ndogo kuwa na power kubwa, engine yenye 4 cyl unakuta inaizidi engine yenye 6 cyl.(mfano angalia v6 LC 300 za sasa na v8 kwenye LC 200).
Pia 2jz wanasema ni nzito mno, wengine wanaiita bullet proof(cast iron,), halafu ni kubwa kwa size.
Pia haya masuala ya sheria za kimazingira kutaka gari zenye low-emission inapelekea kusiwe na successor wa 2jz.
Lakini kwa engine ya miaka ya 90's, toyota alitoa kitu, it is the best engine in JDM history, coolest motherfuck!n machine ever. Lakini ndio hivyo inabidi tukubali new tech na progress.
Ila kumbuka pia shift itakuwa ni kwenye Electric Powered vehicles. Kama itakuwa fashion ni kuwa na gari za umeme hamna mtu atakuwa ananunua haya magari ya petroli. Toyota anataka kuingia sokoni kwa kishindo kwa kutumia Solid State Batteries zenye uwezo wa kudumu mda mrefu na kutembea umbali wa 1200km kwa full charge moja inayojazwa ndani ya dakika 15 tu.Hapana! , hizi gari Africa tutazivuta tu, makampuni mengi ya magari yametangaza ku stop kuzalisha gari zinazotumia mafuta na kuzalisha zinazotumia umeme tu, kufikia mwaka 2040 karibu kampuni zote zitakuwa zimeswitch.
Jaguar- 2025 mwisho kuzalisha gari za mafuta.
Volvo 2030.
Rolls Royce 2030.
Ford amesema atatoa za gas 2030 lakini kwa europe tu.
General motors 2035 anaacha kabisa combustion engines making na ku focus kwenye electric mazima.
Nissan 2023 ndio mwisho kutoa combustion engines Europe, baadae mabara mengine kuanzia 2026.
Range Rover kwenye 2036 hapo wataanza kutoa engines za umeme.
Kampuni ni nyingi zilizotangaza zinaacha kutoa combustion engines na zingine soon tu tunasubiri tamko kwa maana lazima wata switch kuendana na soko.
Hivyo nategemea hapo 2030/2035 hizi combustion engines cars zitakuwa dumped in Africa kwa bei poa, hivyo usishangae kuona wahuni wanaburuza hapa bongo Lexus LFA na magari monsters ambayo tuliishia kuyaona kwenye mitandao huku bmw x5 ikiwa kama ist, naamini kabisa. Upepo wa kibiashara umehamia kwenye electric cars, na wakubwa wakiamua hakuna kinashindikana.
Bmw x5 zitakuwa kama ist, I beleave kabisa.
NI sawa, haya masuala ya emission ni kwa kampuni kama toyota endapo wakiendelea kuzizalisha, lakini kwa watumiaji hata USA gari nyingi tu zina 2jz gte, ni sheria za masuala ya kimazingira n.k zinazolenga kampuni zinazozalisha engines na sio wale watumiaji ambao tayari wanazo, si unaona sasa hivi kampuni nyingi zinakwenda kuacha kabisa masuala ya combustion engines.Ila kwa nchi yetu ya giza unacheza nayo tu like hell. Hamna mtu anafatilia mambo ya emissions.
Sasa mzee kununua latest gari za 2030 na 2025 za umeme tutaweza? Mi naamini kuna gari wabongo wameishia kuziona zikipita barabarani so itakuwa fursa kwa hasira zote ainunue kutimiza ndoto zake, kuna watu wana ndoto kuwa na Range Rover sport lakini nje huko ni gari za kawaida wengi wanamiliki.Ila kumbuka pia shift itakuwa ni kwenye Electric Powered vehicles. Kama itakuwa fashion ni kuwa na gari za umeme hamna mtu atakuwa ananunua haya magari ya petroli. Toyota anataka kuingia sokoni kwa kishindo kwa kutumia Solid State Batteries zenye uwezo wa kudumu mda mrefu na kutembea umbali wa 1200km kwa full charge moja inayojazwa ndani ya dakika 15 tu.
Mkuu petroli itakuwa imefikia 6000 kwa litre moja. Uanze kununua gari inayobugia wese eti kisa inauzwa Million 15M na una afford. Wakati sahio kwenye used Market kuna Tesla Plaid kibao used kwa bei juu kidogo ya hio lets say 20M.Sasa mzee kununua latest gari za 2030 na 2025 za umeme tutaweza? Mi naamini kuna gari wabongo wameishia kuziona zikipita barabarani so itakuwa fursa kwa hasira zote ainunue kutimiza ndoto zake, kuna watu wana ndoto kuwa na Range Rover sport lakini nje huko ni gari za kawaida wengi wanamiliki.
Dah! mzee hio ya mafuta lita 1 itakuwa 6000 imetokea wapi? 🤣 hayo mahesabu umepigaje?Mkuu petroli itakuwa imefikia 6000 kwa litre moja. Uanze kununua gari inayobugia wese eti kisa inauzwa Million 15M na una afford. Wakati sahio kwenye used Market kuna Tesla Plaid kibao used kwa bei juu kidogo ya hio lets say 20M.
Nikuulize tu swali kwanini watu sahizi hawanunui Corrolla 110 wakati zinauzwa bei chini kuliko Crown? 🤣
Sasa unafikiri kwa uongozi huu wa nani kama mama na machawa wanavyopambana akalie kiti hadi 2030 unafikiri Petroli itakuwa bei gani? Kama kila mwezi inaongezeka Tsh. 150Dah! mzee hio ya mafuta lita 1 itakuwa 6000 imetokea wapi? 🤣 hayo mahesabu umepigaje?