100 others
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 4,766
- 16,191
Next time mkuu ukitaka ku mention mtu andika @ ikifuatiwa na jina la unayetaka kumtaja bila kuacha nafasi mfano:[mention]and 100 others [/mention] uliposema crown umeme sio wa mgao
Ulitaka kumaanisha nini kene mark x[emoji23][emoji38]
@jemedaree
Ulianza vizuri sana mzee lakin tatizo ni kwamba umeingiza matusi na kejeli sasa hii inapelekea hoja zako mimi nizione ni utopolo ulipaswa kunipa fact na kunitaka na mimi nikupe fact then baada ya hapo mnyama mkali nagejulikana kutona na fact amnazo zingekuwa zimetolewaSiwezi kubishana na wewe kwa sababu kwanza unaongea kama mtoto, kusema wenzako tumekaririshwa bila kujua background za watu. Pili huna facts zozote kuonyesha mark X ni bora kuliko crown.
Hukatazwi kupenda unachokitaka ila usiamianishe watu bila facts kwamba mark X ni kali zaidi.
Zote zina engine sawa, 2GR, 3GR na 4GR. wheelbase ni ndefu kidogo kwenye crown, luxury features crown inazo nyingi zaidi hasa kwa kuwa zenyewe ni more luxury oriented, options crown anazo nyingi (majesta, royal au athlete). Hizi ndo facts, sio preference wala story.
Inaelekea hata hujui maana ya propaganda. Sina haja ya kupigia debe kitu nisichokuwa na maslahi nacho, tunaelimishana tu humu ndani
Hiyo rate ya ajali sina na ni wala ni mada umeleta wewe wala si mimi.
Itetee mark x yako kwa kujibu hoja za and 100 others !!Ulianza vizuri sana mzee lakin tatizo ni kwamba umeingiza matusi na kejeli sasa hii inapelekea hoja zako mimi nizione ni utopolo ulipaswa kunipa fact na kunitaka na mimi nikupe fact then baada ya hapo mnyama mkali nagejulikana kutona na fact amnazo zingekuwa zimetolewa
Ila daah i rest the case over here ndugu yangu nikuache tusije chomana visu bure mkuu!!
Wee utakuwa Muha mbishi na haujui kitu na hautaki kujua. Kuna jamaa hapo juu kakuelewesha kwa facts lkn unajidai post yake haujaiona.Ulianza vizuri sana mzee lakin tatizo ni kwamba umeingiza matusi na kejeli sasa hii inapelekea hoja zako mimi nizione ni utopolo ulipaswa kunipa fact na kunitaka na mimi nikupe fact then baada ya hapo mnyama mkali nagejulikana kutona na fact amnazo zingekuwa zimetolewa
Ila daah i rest the case over here ndugu yangu nikuache tusije chomana visu bure mkuu!!
Jamaa nimegundua hajui kitu ni mjanja-mjanja Tu wa kupanga Maneno nahisi bado njaa inamsumbuaUmekula mkuu?
Ulianza vizuri sana mzee lakin tatizo ni kwamba umeingiza matusi na kejeli sasa hii inapelekea hoja zako mimi nizione ni utopolo ulipaswa kunipa fact na kunitaka na mimi nikupe fact then baada ya hapo mnyama mkali nagejulikana kutona na fact amnazo zingekuwa zimetolewa
Ila daah i rest the case over here ndugu yangu nikuache tusije chomana visu bure mkuu!!
Avalon zipo Kwa wahindi upangaKuna sedan inaitwa TOYOTA AVALON
very expensive ukicheki kene website
Bongo nmebahatisha kuiona moja tu
Kwa maelezo yote haya watanzania tungekuwa tunaunda na kutengeneza ndiga zetu wenyewe za hatariiii.Simpo jibu ni gear box, ya harrier ina gia 4 kwa cc2400 na gia 5 kwa 3000cc ila vanguard, rav 4 zina 2400cc ila ina CVT gia 6 kama cjakosea
Kivip na wapi... Labda barabara za mjini sio high wayHii sio gari ya kifala hata kidogo kumbuka ni generation ileile kama cresta....hapa hata wale wajerumani huwa wanatulia na wala hawapishani Sana
Kiingeleza ndio nini?Watanzania kiingeleza chetu ni mchanganyiko
Yaani hapo hata smartphone imeshindwa kuadjust hilo neno?Uipate crown majesta yenye V8 full ruxuly... Mjapan katulia
Swali la msingi sana la benzi ya mwaka 1945Wajerumani gani
[emoji3][emoji3] ww huna tofauti na mm, hizo tax dah sijawah zielewa kabisa...mi ni mwendo wa hatchback tu.Upo sahihi kabisa. Basi tu mm sina flavor na hizo saloon cars. Gari yangu ya kwanza ilikua Grand Mark 2 gx100. Sikuwahi kuenjoy saaana! Always mishe zangu ni vijijini, kila wakati nilikua naonekana kama naendesha taxi tu!
Nikauza nikanunua Nissan Wingroad, pale naweza sema nilikula nayo maisha, na ilinifanya nipende hizi station wagon na SUV cars. Ingawa wingroad nilipata nayo majanga nikauza (kuna thread yake humu niliielezea)
Kwa sasa nipo na hii Harrier tako la nyani and I can't complain [emoji120]
Tungekuwa kwenye gari za Kijerumani ningekwambia unataka kufananisha bmw 5 na 7series. Platforms tofauti za magari. Napenda kutumia msemo 'Crown ni flagship ya japanese sedans'Kwan mwonekano wa MARK X una shida gani mkuu yaani si unaongelea mwonekano wa nje mbona mi naona mwonekano wa CROWN ndo wa kilocal ila wa Mnyama X umekaa kibabe fulani ivi yaani umekaa kikushangaza alafu mbona x yuko comfrtable na stable zaidi akiwa barabarani kuliko uyo CROWN kama unabisha check statics za ajali za kupinduka kati ya CROWN na X alafu uje uniambie ipi iko stable zaidi ya mwenzie alafu kama ni swala la speed nadhani unamuelewa mnyama x ama zote zinaweza kulingana ulaji wa mafuta zinalingana engine zote zinatumia za aina moja sasa apa CROWN maajabu yake ni yapi dhidi ya MARK X?
Ebu tupe darasa kidogo tufanye comparison Kati ya Toyota crown 👑 na gari ya kijerumani sedan yenye CC 2400...Kivip na wapi... Labda barabara za mjini sio high way