Opportunity Cost
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 9,034
- 6,913
Wala sikomolewi , shughuli zangu zinahitaji uimara wa barabara sasa mkuu bila hivyo nitazidi kupata hasara.Kwa hiyo unashangilia kukomolewa? Kumbuka tutakoma wote, hakuna cha huyu mtoto wa mjomba au wa shangazi.
Do for your own riskWatu (wafanyabiashara) wataanza kutembea na cash, wizi na uporaji utashamiri.
inasikitisha sana ila wanapata nguvu kwaamna wanapigiwa makofi na Covid 19 na genge lao.Hawa wapuuzi wanaojipangia kodi tu kiholela holela inatakiwa na wao waanze kulipwa laki 5 au laki 6 ili wakati wanatunga sheria zao za kindezi kama hizi waone athari zake!
Sehemu pekee ya kuimpose kodi ni kwenye vitu ambavyo ni optional sio vitu vya lazima kwa kila mtu kutumia kama miamala!
Wekeni hizo sh.100 kwenye viwanja vya mipira watu wanajazana karibia elfu 60 kila mechi ikichezwa they can get alot of money from such activities!
Waweke tozo hizo kwenye vitu kama highspeed roads ambako sio lazima mtu kutumia! Wajenge autobahn waweke tozo waone kama watu hawatalipa😅
Kodi zinatakiwa ziwe fun to pay ujiskie raha tokana na convenience unayopata sio unatozwa kodi kwenye kitu ambacho hakiburudishi zaidi unaumia tu. Sijui hawa watu wanafikiria kutumia matako!
Wasajili malaya wawape maeneo maalum waanze kulipia kodi watu watalipia tu wala hawatanung’unika. Ile ni starehe mtu hawezi umia!
Waweke kodi kwenye vinywaji kama bia! Watu watazinywa tu bila kujali kodi ni sh.100!
Shida ya wenye mamlaka hawataki ku diversify kodi hizi wanataka zote warundike sehemu moja! Simu itozwe kodi kwenye vocha,internet, voice na sms, line itozwe kodi, bado serikali wabandike kodi juu tena!?
Mafuta yakiingizwa yalipe kodi, leseni ya sheli inatakiwa ilipe kodi, mjazaji mafuta alipe kodi ya reli na sasa ya uzalendo 😅😅😅
Mpendwa wenu? Mbona unatisha? Tafadhali kama hukwenda shule mpeleke mwanao shule na umsisitize asome vema pengine atakuokoa kimawazo.Pumbavu anahusika nini hapo mpendwa wetu Magufuli.
JPM alikua anatoa wapi hela za kulipia miradi hii? Tena kwa muda bila kuwachelewesha kandarasi! Jana wa machinjio ya Vingunguti mpya TBA sijui ilikua wafungue 1.7.2021 kwa amri ya waziri mkuu ila wamesema walikwama wakidai hawajalipwa almost 3b plus ya kumalizia kufunga AC na bwawa la kutunzia mbolea ndio maana wakasimama.Ujinga wa kuazisha miradi mingi kwa wakati mmoja wakati uchumi wetu ni wakuokoteza ndio sababu ya hili tatizo.
Tatizo haziimarishi chochote,labda kuimarisha mifuko ya wachache hazina: wanaiba sanaWala sikomolewi , shughuli zangu zinahitaji uimara wa barabara sasa mkuu bila hivyo nitazidi kupata hasara.
Kukatwa hicho kiasi kwa ajili ya kuimarisha miundombinu ni sawa kwangu
Tulia bwashee acha tule matunda ya inji, ajira isubir tukuze uchumi kwanza!Hii inaongeza ajira au inapunguza?!
Kwa nini Mzee? Umeshaambiwa pesa inaenda Tarura bado unabisha sasa sijui unataka nini?Tatizo haziimarishi chochote,labda kuimarisha mifuko ya wachache hazina: wanaiba sana
Tema mate chini mtoto wa teuzi wewe.Pumbavu anahusika nini hapo mpendwa wetu Magufuli.
Wasenge haoinasikitisha sana ila wanapata nguvu kwaamna wanapigiwa makofi na Covid 19 na genge lao.
Malizia chini ya kiongozi dhaifu samia ,,,maana chini ya magu mambo kama haya ya kutwisha mzigo zaidi wananchi tulikuwa tumesha ya ya sahau hata kwa wakulimaHayo ni matokeo ya SGR na Nyerere dam.----- lazima tutaipata.
Utakapomkuta bar anatumia hiyo hela usishangae,maana umempa majaribu kwa hiali yakoTutawatuma bodaboda wapeleke iyo pesa kuliko kutuma kwa simu aiseee