Tetesi: Tozo Mpya Kutuma fedha kwa simu kufa, Watanzania walia

Piga chenja ,,, Hayo yote ipo siku ee,, yatakwisha ee, Yata Kwisha eee siera eee ,,, ,,, Itatuchukua zaidi ya miaka 40 toka sasa ili kupata katiba mpya yaani hadi kizazu cha miaka ya 80 kurudi nyuma kitoweke chote ,, Mwigulu ongeza glass
 
Hata kipindi cha huyo magufuli kuna wizara kadhaa zilipata nusu ya hela ya bajeti kutokana na pesa nyingi kuelekezwa kwenye miradi mikubwa, tena miradi mingine haikuwepo hata kwenye bajeti(Ununuzi wa ndege). Pia naomba nikuulize kwanini kipindi cha magufuli deni la taifa limeongezeka sana tofauti na marais wengine waliopita?.
 
Deni la taifa limeongezeka kwa kiasi kikubwa kipindi cha magufuli
 
Tatizo haziimarishi chochote,labda kuimarisha mifuko ya wachache hazina: wanaiba sana
Hazina wanaibaje ? Kwamba hazipelekwi kwenye taasisi husika au unataka kusemaje Mzee? Huko kwenu barabara,zahanati,maji nk havifanyiki?
 
Safi sana hii ndio inafaa ili heshima ya pesa irudi mtaani, milioni inatakiwa mtu aipandie basi ikiwezekana avuke mkoa sio eti "tuma na ya kutolea"
This time around watu watatoka Songea kuja daslam kuifwata 1m
 
nimependa hoja yako ya malaya kuhalalishwa walipe kodi. kila nikihoji ubaya wa huduma hii hakuna anayeleta hoja za msingi zaid ya kurejea vitabu vya riwaya za waarab na wayahudi.
 
Hizi tozo serikali iingilie kati ni kali sn
 
Baada ya vifurushi wameamua kuja kutest mitambo na huku
 
Kila jambo linenda kua gharama sasa...
 
This time around watu watatoka Songea kuja daslam kuifwata 1m
Hii itasaidia sana kupunguza upotevu wa pesa unaosababishwa na zile message za tuma na ya kutolea...tena raia ziendelee kulalamika kwa sana tunapata pakutokea.

Wale wa nitumie nauli ndio nitakuja, kwisha habari yao🤣
 
Hii itasaidia sana kupunguza upotevu wa pesa unaosababishwa na zile message za tuma na ya kutolea...tena raia ziendelee kulalamika kwa sana tunapata pakutokea.

Wale wa nitumie nauli ndio nitakuja, kwisha habari yao[emoji1787]
[emoji1787][emoji1787]Hao mademu kwisha habari yao..ni mwendo wa "ifwate gheto,makato ya kutuma ni makubwa sana"..baada ya hapo ni utatoa hutoi..
 
Uchumi wa kati ndio huo
 
nimependa hoja yako ya malaya kuhalalishwa walipe kodi. kila nikihoji ubaya wa huduma hii hakuna anayeleta hoja za msingi zaid ya kurejea vitabu vya riwaya za waarab na wayahudi.
Yah mkuu inaboa sana yani!
 
Serikali ya Wanyonge.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…