TP Mazembe vs Pyramids mechi inaanza saa tisa Lubumbashi, Mamelodi mechi zake na Waarabu ni saa tisa. Kwanini Yanga iwe saa 1?

Sidhani ndio nn kitu cha muhimu ni kupata ushindi hizo goli nne unazosema wewe zitapatikana kulingana na mazingira ya mchezo yatakavyokuwa ila muhimu ni ushindi point tatu huwezi jua ya mbele bado kundi lipowazi yeyote atapita
Hata Yanga ishinde hakuna itakapornda maana CR atashinda mechi ya Mwisho na Madeama Sasa mtaenda wapi? Mtapata hata sare na Al Ahly nyie? Mnao huo uwezo?
 
Jamaaa una lazimisha kila kitu wanachofanya Team zingine na Yanga iige haya Maisha mnayo sana Waafrika kuigana.

Hivi Mi nawaza we ukiulizwa kwanini umeoa huyo Mke wako mwenye MADAKO madogo ukaambiwa Ni Mjinga utasema Nini?

Usipende kuiga kila kitu...Yanga Kwenye Caf confederation msimu uliopita kacheza Match zake karibia Nyingi saa 1 ila Mbona kafika Hadi Fainali?

Simba Ndi9 Team inayoongoza kucheza saa 10 lakini Caf conderetaion iliisha Robo na miaka Nenda rudi kwenye Caf C League inaishia Robo.

So unakuja kuelewa hayo Maswala ya Joto ni yako na Akili zako...Utapigwa tu hata kwenye Barafu kama Team yako mbovu
 
Huna Akili... kwamba huelewi kinachoendelea DRC? Mechi gani kwa kipindi hiki umeona zikichezwa saa 1 za usiku? wanafanya hivyo kwa usalama zaidi sio kwamba wanajipangia tu
 
wabongo bwana,kwaiyo ukiileta real Madrid mfano acheze na Simba game SAA Saba mchana ,Simba atashinda sababu ya jua SI ndio,acha ukibwengo
 
Mwarabu ataogopaje jua na wakati kwake jua ni kali kuliko huku kusini mwa Sahara?
 
Wakati Mello anaanzisha JF lengo lilikuwa kuona michango yenye weledi kama hivi.
Lkn sasa JF imekuwa kijiwe cha kahawa na kununua Utamu.
 
Ikichezwa saa tisa tz umeme unasumbua tungeshidwa angalia game mpk saa moja umeme utakua umerud
 
Mwishowe utake Mechi ichezwe saa nane kwenye dimbwi la maji, ushindi nje nje.
 
Watakubishia lakini huo ndio ukweli. Makosa tunayofanya timu za Tanzania ni kuwapangia waarabu mechi za usiku hali ya hewa imetulia.

Mechi za mchana nyingi wanapoteza hao waarabu
 
Ayo mambo ya kucheza juani ni ya kijima, Kwasasa Yanga wametengeneza timu ya all wether.
Twendeni tukacheze mpira na kushinda bila mbinu chafu, za kipuuzi na za kutu dhalilisha, Timu ya kushinda ipo Sasa kwanini tuhangaike na mambo ya ki kuda!!
 
Kwake kuna jua ila mechi zao hazichezwagi kwenye jua.
Mkuu ngoja nikwambie, kwenye suala la mazingira rafiki kwenye ni muhimu sana, kwani hufanya wachezaji Waweze kufurahia mchezo husika.
Kwa mfano:Nchi kama Nepal,Bhutan na Tajikistan ni ngumu kwa wachezaji wa nchi za Afrika Mashariki kushiriki michezo kwani zipo zaidi ya mita 3800 kutoka usawa wa bahari ,so itakuwa ngumu kwa wachezaji wetu kupumua...
Hizi mechi zao nyingi huchezeka kwenye nchi jirani ambazo zipo chini.

Na hapo hata watu mnavyolalamika Waarabu mechi kuchezeka usiku na baridi,kwani kwa nchi yetu mikoa yenye joto kama la Dar haizidi 10.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…