greater than
JF-Expert Member
- Sep 22, 2018
- 1,653
- 3,060
akina zuwena na amber rutty fc tulieni, wenye haki ya kuonesha haya mashindano lazima watofautishe muda wa mechi we mwiko nyuma...mbona wydad tulikanda kawaida kabsa majira ya saa 1??Yanga tuna ujinga mwingi sana
Hatujui kama mpira wa africa una fitna zake
Timu zote za weusi zilizowai ku win caf champions league zinajua weakness ya warabu ni jua
Yanga home games zetu tunawaweka waarabu usiku kwenye taa.
CAF hawapangi muda wa home games
Ndiyo maana mazembe ameweka mechi yake na pyramids kesho ianze saa tisa jua kali lubumbashi. Cheki post hapo utaona 15:00 time lubumbashi
Mamelodi kila siku tunaona jinsi anavyocheza na waydad na Al ahly kwenye jua la saa tisa south africa.
Je, yanga tunajua mpira wa Afrika kuliko Mamelodi na mazembe.
View attachment 2914222
Haya mambo kudanganyana tu, hilo jua kwamba linampiga mwarabu halafu halimhusu Yanga. Au kwa sababu ni jua la Dar litamuonea huruma. Tuache siasa tuwekeze kwenye mpira, timu zetu bado zinabahatisha kwa timu za Kaskazini huko sababu tuna uwekezaji mdogo. Watu huko wana michezaji ya bilioni sijui kumi, wakati sisi hiyo ni thamani ya timu nzima.Yanga tuna ujinga mwingi sana
Hatujui kama mpira wa africa una fitna zake
Timu zote za weusi zilizowai ku win caf champions league zinajua weakness ya warabu ni jua
Yanga home games zetu tunawaweka waarabu usiku kwenye taa.
CAF hawapangi muda wa home games
Ndiyo maana mazembe ameweka mechi yake na pyramids kesho ianze saa tisa jua kali lubumbashi. Cheki post hapo utaona 15:00 time lubumbashi
Mamelodi kila siku tunaona jinsi anavyocheza na waydad na Al ahly kwenye jua la saa tisa south africa.
Je, yanga tunajua mpira wa Afrika kuliko Mamelodi na mazembe.
View attachment 2914222
Yanga tuna ujinga mwingi sana
Hatujui kama mpira wa africa una fitna zake
Timu zote za weusi zilizowai ku win caf champions league zinajua weakness ya warabu ni jua
Yanga home games zetu tunawaweka waarabu usiku kwenye taa.
CAF hawapangi muda wa home games
Ndiyo maana mazembe ameweka mechi yake na pyramids kesho ianze saa tisa jua kali lubumbashi. Cheki post hapo utaona 15:00 time lubumbashi
Mamelodi kila siku tunaona jinsi anavyocheza na waydad na Al ahly kwenye jua la saa tisa south africa.
Je, yanga tunajua mpira wa Afrika kuliko Mamelodi na mazembe.
View attachment 2914222
KamaYanga tuna ujinga mwingi sana
Hatujui kama mpira wa africa una fitna zake
Timu zote za weusi zilizowai ku win caf champions league zinajua weakness ya warabu ni jua
Yanga home games zetu tunawaweka waarabu usiku kwenye taa.
CAF hawapangi muda wa home games
Ndiyo maana mazembe ameweka mechi yake na pyramids kesho ianze saa tisa jua kali lubumbashi. Cheki post hapo utaona 15:00 time lubumbashi
Mamelodi kila siku tunaona jinsi anavyocheza na waydad na Al ahly kwenye jua la saa tisa south africa.
Je, yanga tunajua mpira wa Afrika kuliko Mamelodi na mazembe.
View attachment 2914222
Bora kukusanya ela kuliko kucheza na mpinzani wako katika mazingira sio rafiki kwake ili upate matokeo?Hiyo picha inaonyesha hali joto la jiji la Cairo kwa mwaka mzima.
kwa kuangalia tu,mbona inalingana na halijoto la mikoa kama Njombe,Mbeya,Songwe,Iringa,Arusha na Kilimanjaro.
Sasa tusijidai wageni sana kwa hali hiyo ya hewa.
Na Yanga kupanga mechi mda huo,imelenga kukusanya mapato mengi ya uwanjani na watazamaji wa kwenye Runinga.
Mkuu but hilo baridi ambalo watu hulalamika lipo katika hiyo miji ya kiarabu mbona linaendana na hali joto la miji mingi hapa Tanzanania.Bora kukusanya ela kuliko kucheza na mpinzani wako katika mazingira sio rafiki kwake ili upate matokeo?
Yanga tuna ujinga mwingi sana
Hatujui kama mpira wa africa una fitna zake
Timu zote za weusi zilizowai ku win caf champions league zinajua weakness ya warabu ni jua
Yanga home games zetu tunawaweka waarabu usiku kwenye taa.
Yanga timu kubwa uhakika tunao,hatuhitaji kufanya finish,zaidi zaidi tunaijenga timu,sii kwa njia ya mkato ila kwa jasho na damu na kupitia uzoefu halisi🤓Yanga tuna ujinga mwingi sana
Hatujui kama mpira wa africa una fitna zake
Timu zote za weusi zilizowai ku win caf champions league zinajua weakness ya warabu ni jua
Yanga home games zetu tunawaweka waarabu usiku kwenye taa.
CAF hawapangi muda wa home games
Ndiyo maana mazembe ameweka mechi yake na pyramids kesho ianze saa tisa jua kali lubumbashi. Cheki post hapo utaona 15:00 time lubumbashi
Mamelodi kila siku tunaona jinsi anavyocheza na waydad na Al ahly kwenye jua la saa tisa south africa.
Je, yanga tunajua mpira wa Afrika kuliko Mamelodi na mazembe.
View attachment 2914222
Japo kama amewahi fika Muscat atajua hoja hiyo na mwarabu havina nafasi😎Mkuu but hilo baridi ambalo watu hulalamika lipo katika hiyo miji ya kiarabu mbona linaendana na hali joto la miji mingi hapa Tanzanania.
Angalia hiyo halafu pitia hali joto za miji ya Moshi,Arusha,Ngara,Njombe,Babati,Dodoma,Mbeya mjini,Songwe na Songwe uone kama utofauti...labda kama wewe ni wa Dar na haujawahi kutoka nje ya Dar.
Ila mi nimeishi Mbeya na watu wanacheza mpira kwenye joto la 14⁰C.
Nafkiri hapa hatuna hoja yenye mashiko.
Hivi mkuu unahisi waarabu wanaoishi Jangwani hawajazoea jua? Huko kwao washazoea Nyuzi 40 kawaida tu, humidity inafika mpaka 60% na zaidi.Yanga tuna ujinga mwingi sana
Hatujui kama mpira wa africa una fitna zake
Timu zote za weusi zilizowai ku win caf champions league zinajua weakness ya warabu ni jua
Yanga home games zetu tunawaweka waarabu usiku kwenye taa.
CAF hawapangi muda wa home games
Ndiyo maana mazembe ameweka mechi yake na pyramids kesho ianze saa tisa jua kali lubumbashi. Cheki post hapo utaona 15:00 time lubumbashi
Mamelodi kila siku tunaona jinsi anavyocheza na waydad na Al ahly kwenye jua la saa tisa south africa.
Je, yanga tunajua mpira wa Afrika kuliko Mamelodi na mazembe.
View attachment 2914222
Jamani si tulikubaliana tupake breach wote waraabu washindwe kumtambua paccome!Yanga tuna ujinga mwingi sana
Hatujui kama mpira wa africa una fitna zake
Timu zote za weusi zilizowai ku win caf champions league zinajua weakness ya warabu ni jua
Yanga home games zetu tunawaweka waarabu usiku kwenye taa.
CAF hawapangi muda wa home games
Ndiyo maana mazembe ameweka mechi yake na pyramids kesho ianze saa tisa jua kali lubumbashi. Cheki post hapo utaona 15:00 time lubumbashi
Mamelodi kila siku tunaona jinsi anavyocheza na waydad na Al ahly kwenye jua la saa tisa south africa.
Je, yanga tunajua mpira wa Afrika kuliko Mamelodi na mazembe.
View attachment 2914222
Umepaka bleach na kope na nyusi bandia?Yanga hatujali muda hata saa 9 usiku tunabaka watu