greater than
JF-Expert Member
- Sep 22, 2018
- 1,653
- 3,060
Hiyo picha inaonyesha hali joto la jiji la Cairo kwa mwaka mzima.
kwa kuangalia tu,mbona inalingana na halijoto la mikoa kama Njombe,Mbeya,Songwe,Iringa,Arusha na Kilimanjaro.
Sasa tusijidai wageni sana kwa hali hiyo ya hewa.
Na Yanga kupanga mechi mda huo,imelenga kukusanya mapato mengi ya uwanjani na watazamaji wa kwenye Runinga.
kwa kuangalia tu,mbona inalingana na halijoto la mikoa kama Njombe,Mbeya,Songwe,Iringa,Arusha na Kilimanjaro.
Sasa tusijidai wageni sana kwa hali hiyo ya hewa.
Na Yanga kupanga mechi mda huo,imelenga kukusanya mapato mengi ya uwanjani na watazamaji wa kwenye Runinga.