Hakuna shida bandari kubinafsishwa hizi tuhuma za hii kampuni kupewa miaka 100 ni hasara sana huwezi kuongelea tu faida za huo mkataba bila kuhoji masharti ya huo mkataba
Masharti ndio hojini,kama Kuna masharti yasiyo na faida ambayo sidhani kama yapo ndio yajadiliwe..

Kuna title deed ya miaka 10,33,50 Hadi 100
 
Tangu Enzi za mangungo hadi Karen hii tunapigwa tuuuui
 
Hata hamuaniki eti! Maana uzalendo hamna. Zaidi tu mnawaza kujilimbikizia tu mali vichwani mwenu, kupitia ufisaji na upigaji.
 
Mimi ningekuwa Samia ningeyaachia madanganyika yaendelee na maujinga Yao ya ujamaa,ya nini kujizeesha Bure na majitu yaliyoxoea umaskini na Kuendesha kama mapunda?
 
Hivi kweli imefika sehemu Sisi Watanzania tumeshindwa kujisimamia wenyewe, yaani baada ya miaka zaidi ya 60 tangu tupate uhuru bado hatuwezi kusimamia rasilimali zetu?

Hili jambo linasikitisha sana, hata kama eneo hilo linahitaji uwekezaji, kwa nini isiwe ni wawekezaji wa ndani? Hivi hawa Waarabu ndiyo wakuwapa eneo muhimu kama hilo?

Babu zetu walishindwa kutawaliwa na hawa Waarabu mpaka wakafanya Mapinduzi licha ya hali duni ya kimaisha waliokuwa nayo kipindi hicho, leo hii kizazi hiki cha wasomi wanataka kumrudisha Mwarabu kututawala tena kwa kuwaita kama wawekezaji!

Hili jambo halifai na hata kwa akili ya kawaida lilitakiwa likataliwe na Viongozi bila hata Sisi Wananchi kujua, vitu kama hivi kutuhusisha Wananchi wa kawaida ni kuonesha kuwa Nchi yetu sasa ina ombwe la Viongozi.
 
mkataba upo vizuri sana, mapato kupanda mara 3-4 zaidi ya awali, hili ni jema sana.
Nimekipenda kipengele cha ku fail kufikia malengo tarajiwa inamaanisha mkataba huu "utavunjika rasmi" kipengele hiki kimenigusa hasa kuhusu umakini wa mkataba huu.
Mkataba unasema wa miaka mingapi
Mkuu

Ova
 
Hela zinakopwa ili zipigwe wewe shtuka. Watu wanavuna hela za kulisha hadi vizazi vya 10 huko.
 
Haya bado ni matunda ya ule uchaguzi wa mwaka 2015. Bado tunaendelea tu kuyafaidi. Maana hakuna namna nyingine.
 
Mbona wanauza vya Tanganyika tu huko kwao hawana cha kuuza ?
 
Na bado mkishauza bandari ya Daslama muingie tena mkenge kumpa mchina ile ya Bagamoyo, kimsingi nchi ilishauzwa kitambooooo, nilipoona bandari wameanza kutoa watu wenye akili na kuweka wale waburushi wa kizimkazi nikajua ohoooo kazi imekwisha, kwakweli Kagame apewe maua yake kabnisaaa, maana aliongea kama utani kwamba apewe bandari kwa miezi kadhaa tu na atafanya wonders, tukamuona mwendawazimu. HANGAYA OYEEEEEE>
 
Kwamba nyie Watanganyika million 61 huko mmeshindwa kuiendesha bandari yenu mpaka muamue kuikodisha.!!??
 
Serikali iwe inatoa taarifa sahihi mapema kila wakati ili wananchi wasipotoshwe.
Hii kukaa kimya mpaka mambo ya kisiasa na kiuchumi yanaharibika, ni kama kutegeshea bomu halafu unakaa mbali kusikilizia linalipukaje.
 
"Black people are not complete human beings because they don't have a good brain to govern the society as white people are. They are still under the process of becoming the complete human beings". Pieter W. Botha, a former President of South Africa during the Apartheid era.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…