TPA: Upanuzi wa bandari ya Tanga ukikamilika itakuwa na uwezo zaidi ya bandari ya Mombasa, itapokea tani milioni 2 za mizigo

Mombasa ISLAND is a 5 by 3 Km(3.1 by 1.9 mi)coral outcrop located on Kenya' coast on the Indian Ocean,which is connected to the mainland by a causeway.Part of the City of Mombasa is located on the ISLAND ,including the Old Town.
Chukua atlas tu au angalia ramani ya kenya google Mombasa sio kisiwa
 
hujafika Mombasa wewe ukapanda hata basi tu toka mwembetayari kwenda Nairobi au kuja Tanzania.Ni sawa na useme Kigamboni dar ni kisiwa achana na uzushi wa wikipedia sio sehemu reliable za taarifa
Mombasa ni kisiwa.Elewa hivyo,ukitoka Mombasa kwenda Nairobi hapo panapoitwa MakupaCauseway,palitutiwa taka ,vifusi mda mrefu sana,ndio kukapatikana njia.Ukitoka Tanga kwenda Msa,lazima uvuke kwa Ferry,ukitoka Msa kwenda Malindi,zamani ilikuwa ferry,siku hizi daraja kubwa la kuvuka.Huwezi kutoka nje ya Msa bila kuvuka maji.
 
Chukua atlas tu au angalia ramani ya kenya google Mombasa sio kisiwa
Mombasa sehemu ya kwenda Nairobi utaona Makupa Causeway,hapo pametutiwa,bahari ilijazwa vifusi,kukapatikana njia.Kutoka Tanga kwenda Msa,unavuka na ferry,kutoka Msa kwenda Malindi Kenya,zamani kulikuwa na ferry,siku hizi ni daraja kubwa.
 
mombasa haihazungukwa yote na bahari utaitaje kisiwa? hapo ferry ndipo bahari inafikia ukomo ikiiacha mombasa sehemu kubwa bila bahari
ferry mombasa ni sawa na ferry ya kigamboni Dar au kivuko cha busisi Mwanza je waweza ita Busisi ni kisiwa ?
 
mombasa haihazungukwa yote na bahari utaitaje kisiwa? hapo ferry ndipo bahari inafikia ukomo ikiiacha mombasa sehemu kubwa bila bahari
ferry mombasa ni sawa na ferry ya kigamboni Dar au kivuko cha busisi Mwanza je waweza ita Busisi ni kisiwa ?
The Makupa Causeway,is a cause way linking Mombasa ISLAND to the Kenyan MAINLAND.The road runs for approximately ona and half miles between the Magongo Circus and Makupa Circus.The cause way dissects Tudor Creek to the east and Port Reitz to the west.
The causeway is one of three road links between the ISLAND and Kenyan MAINLAND-the other two being the Nyali bridge and the Kipevu Causeway.
-Meaning of causeway:A raised way across wet ground or water.
Now:Construction Of Sh 4.5b(Ksh) new Makupa Bridge begins,which will replace the historic Makupa causeway that links Mombasa ISLAND to the MAINLAND
 
Suala siyo fahari ya kuipiku bandari nyingine, je tumejipanga vipi kudhibiti upotevu wa mapato ya serikali kama Dsm peke yake tunapigwa!!!?
 
Mombasa ISLAND is a 5 by 3 Km (3.1 by 1.9mi),coral outcrop located on Kenya's coast on Indian Ocean ,which is connected to the mainland by a causeway.Part of the city of Mombasa is located on ISLAND including of Old Town
Mji wa mombasa sio kisiwa kuna mabasi yanatoka tanga kwenda mombasa ila kuna eneo la mji ambalo ni ferry unavuka kwa kivuko
 
Mombasa sehemu ya kwenda Nairobi utaona Makupa Causeway,hapo pametutiwa,bahari ilijazwa vifusi,kukapatikana njia.Kutoka Tanga kwenda Msa,unavuka na ferry,kutoka Msa kwenda Malindi Kenya,zamani kulikuwa na ferry,siku hizi ni daraja kubwa.
twende upande basi pale Mwembetayari pale mombasa kuja Tanzania upande wa kilimanjaro kupitia Taveta kuna bahari gani unavuka??
 
Wewe na vimada vyako vya ajabu ajabu, 24/7/4/52...; hakuna kinachobadilika hata kidogo!
 
Mji wa mombasa sio kisiwa kuna mabasi yanatoka tanga kwenda mombasa ila kuna eneo la mji ambalo ni ferry unavuka kwa kivuko
Hilo eneo la ferry,unalovuka,ni bahari,inayopita meli.Na pia ndani ya Kenya,huwezi kuvuka kwenda Nairobi,bila kupita baharini,sasa hivi kunajengwa daraja,lenye thamani ya 4.5b shilingi za Kenya.Na ukitoka Mombasa kwenda County ya Malindi,zamani ilikuwa ferry,mda walijenga daraja kubwa,kuvuka bahari.Pia Kuna Nyali bridge,kuelekea Mji mwingine,ndani ya Mombasa,linapita baharini.
 
Wanapaswa waiongeze ukubwa kiasi hata hao Mombasa wakifanya upanuzi huko kwao wasiweze izidi hiyo bandari ya Tanga...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…