TPA: Upanuzi wa bandari ya Tanga ukikamilika itakuwa na uwezo zaidi ya bandari ya Mombasa, itapokea tani milioni 2 za mizigo

TPA: Upanuzi wa bandari ya Tanga ukikamilika itakuwa na uwezo zaidi ya bandari ya Mombasa, itapokea tani milioni 2 za mizigo

Unajua uwezo wa bandari ya Mombasa wewe, au unaandika tu ? Mwaka jana Mombasa ilipokea tani milioni 35. Bandari yetu ya dar kubwa kuliko zote nchini ilipokea tani milioni 17 tu. Kwa hiyo hata iwe imekamilkia ya Tanga , bandari ya dar na Tanga hazikaribii mizigo inayopokewa na Mombasa. Uzalendo maana yake sio kutuandikia uongo ndugu yangu. Nenda google upata ukweli. Na Kenya wakijenga bandari ya Malindi , ni basi tena hatuwapati
tena kea capacity ya kupokea mizigo.
Muyovozi punguza upotoshaji, Capacity ya bandari ya Dar ni kubwa kuliko ya Mombasa, na mara nyingi tuu tunafanya biashara kubwa kuliko Mombasa.

Kitu ambacho kwa sasa wao ni bora kuliko sisi ni vitendea kazi, hasa baada ya kuibinafsisha bandari yetu kwa TICS.

Kwa uwekezejaji uliofanywa na mwendazake na unofanywa sasa hivi wa vitendea kazi. Tutaizidi bandari ya Mombasa by 27%.

Try to be up to date.
 
Zitakuwa zinaenda wapi kutokea huko Tanga

Nani asiyejua miradi ya nchi hii na hao wanaoongea kufurahisha nafsi zao?
 
unapofanya upanuzi wa bandari usifikirie kubeba mizigo ya watu wengi nje ya nchi yako, fikiri kwanza uzarishaji wa ndani na huku nje iwe ziada sasa....production capacity yetu ni ndogo sana hata kuweza kuifanya Dar port kuwa busy.

wasomi wetu wakae chini wafikiri cha kufanya nchi iwe busy kwa production capacity kuwa juu..
Ndio maana hata Kenya volume ya mzigo wa ndani ni kama 2/3 ya mzigo wote unaopita mombasa Port
 
Mkurugenzi mkuu wa bandari bwana Erick amesema upanuzi wa bandari ya Tanga ukikamilika itakuwa na uwezo wa kupokea tani milioni mbili za mizigo na wataipiku bandari ya Mombasa Kenya.

Erick amesema upanuzi huo umelenga kuhimili ushindani na kuzishawishi nchi nyingi zaidi kutumia bandari zetu.

Chanzo: ITV habari.

Kazi Iendelee!
Upanuzi wa bandari peke yake hauwezi kuongeza mizigo.... There is a lot more than that...!!
 
Huu Upanuzi ni wa miaka mingapi? Kimsingi hakukuwa na haja kwa Transit za kwenda kaskazini kufanyikia Dar! Watu wangekuwa wanafanyia Clearance zao Tanga Port wanaenda Moshi-Arusha (Tarakea-Namanga) borders bila kuja Dar es Salaam!
Ishu sio ukaribu ishu ni facilities na huduma

Mizigo ya Kaskazini inapitia Mombasa
 
Muyovozi punguza upotoshaji, Capacity ya bandari ya Dar ni kubwa kuliko ya Mombasa, na mara nyingi tuu tunafanya biashara kubwa kuliko Mombasa.

Kitu ambacho kwa sasa wao ni bora kuliko sisi ni vitendea kazi, hasa baada ya kuibinafsisha bandari yetu kwa TICS.

Kwa uwekezejaji uliofanywa na mwendazake na unofanywa sasa hivi wa vitendea kazi. Tutaizidi bandari ya Mombasa by 27%.

Try to be up to date.
Acha porojo wewe mbususu wewe data
 
Mh Simbachawene, aje atufafanulie hili nadhani alilisema yeye.
Ngoja nimsaidie Simbachawene katika hili!!

Watu wanaposikia gesi ya Mtwara huwa wanachanganya madesa! Kwa kifupi, Lindi na Mtwara kuna gesi za aina 2! Aina ya kwanza ni ile iliyogundulika miaka ya themanini na aina ya pili ni ile iliyogundulika kwa kiasi kikubwa miaka ya 2010's!

Ile ya miaka ya 80 ni pamoja na Gesi ya Songosongo, mkoani Lindi na Msimbati, mkoani Mtwara!! Gesi hii ndo ile inayozalisha umeme Ubungo na Kinyerezi, na haipo nyingi kihivyo!

Kwa mfano, ile ya Msimbati ilikuwa inazalisha umeme kule kule kusini lakini kwavile mikoa hiyo ina uchumi mdogo sana, wakashindwa ku-fully utilize umeme uliokuwa unazalishwa! Hapo ndipo ilipokuja idea ya bomba la gesi kutoka Mtwara hadi Dar ili gesi hiyo ije kuzalisha umeme Kinyerezi na kuingizwa kwenye grid ya taifa!

Both, gesi ya Songosongo na Msimbati sio nyingi kihivyo! Na hao akina Simbachawene wanapozungumzia utajiri wa gesi hawazungumzii hiyo ya Msimbati na Songosongo bali wanazungumzia 57 trillion cubic feet ambazo zilianza kugunduliwa zaidi from 2010's!

Ni hizo 57 cubic feet ambazo zipo deep sea, ndizo zilitaka kuzaa ile gas processing plant ya USD 30 Billion kule Lindi!!

Kwavile ni gesi nyingi sana, hiyo ndiyo ingesafirishwa! Kwenye ile thread yangu ya Bandari ya Bagamoyo nimezungumzia kwanini iwe B'moyo na sio Mtwara! Mtwara port ilikuwa reserved ili ku-handle gas tankers and any possible oild tankers endapo tutakuja kugundua mafuta!!

Gasi hiyo bado haijaanza kuchimbwa!!!
 
Ni ndoto ya mchana kweupe kuilinganisha bandari ya Tanga na Bandari ya Mombasa.

Mombasa wapo mbali sana na Bandari ya Tanga na hautatokea Tanga kuipata Mombasa port.
Asili yenu kujidharau
 
Back
Top Bottom