TPDC: Mafuta yaliyopo yatosha siku 15

TPDC: Mafuta yaliyopo yatosha siku 15

Yaani kwa akili zako za kawaida inadhani mama alikua mfuasi wa magu , kwel ww ndio hujui lolote , wakati kuna kipindi alitaka kuondoka kwenye nafasi aliyokuwepo ,wakongwe waka mplease tu ,.
Inadhani #### unadhani, kwel ### kweli, ww ## wewe. Punguza ramli chonganishi.
 
Zamani serikali ilikuwa inaagiza kwa Bulk Procurement,
Huu mfumo haupo tena?
Au ndio Todc ame take over?
Sijajua Tofauti ya Uagizwaji na usanbazwaji wa Zamani na sasa hivi!
Yaani Sijajua Role ya Tpdc sasa hivi!
"Todc" ndio mdudu gani?
 
Yaani kwa akili zako za kawaida inadhani mama alikua mfuasi wa magu , kwel ww ndio hujui lolote , wakati kuna kipindi alitaka kuondoka kwenye nafasi aliyokuwepo ,wakongwe waka mplease tu ,.
Story za kusogeza muda kwenye vijiwe vya kahawa, eenhee lini.
 
Hayo ndio mnayoweza utasema tuko kwenye chumba cha mitihani shida watu wasioweza kujiongeza jenga hoja acha kukariri maisha.
Punguza mihemuko. Lete hoja iliyopangiliwa vizuri ili tukupatie majibu mujarabu. Achana na hizi blaah blaah.

Ujue unaongea na baba yako[emoji57][emoji57]
 
Back
Top Bottom