namanga-kitonga
JF-Expert Member
- Feb 4, 2020
- 679
- 744
Atapata nini?Samia akiwa na mawazo ya kijinga kama haya yako atapata sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atapata nini?Samia akiwa na mawazo ya kijinga kama haya yako atapata sana.
Inadhani #### unadhani, kwel ### kweli, ww ## wewe. Punguza ramli chonganishi.Yaani kwa akili zako za kawaida inadhani mama alikua mfuasi wa magu , kwel ww ndio hujui lolote , wakati kuna kipindi alitaka kuondoka kwenye nafasi aliyokuwepo ,wakongwe waka mplease tu ,.
Tayari marope keshajaa povu hukoEnzi za mtukufu KAYAFA asingethubutu kuongea huo ukweli.
Si kateuliwa juzi tuSidhani kama kauli hii itamfanya aendelee na kazi yake kwa muda mrefu. Nasema sidhani.
Sawa asante.yana hadimika ### yanaadimika
Okay ila ujembe ume uelewa, typing errors hizokadili #### kadri, zinavyo enda #### zinavyoenda
"Todc" ndio mdudu gani?Zamani serikali ilikuwa inaagiza kwa Bulk Procurement,
Huu mfumo haupo tena?
Au ndio Todc ame take over?
Sijajua Tofauti ya Uagizwaji na usanbazwaji wa Zamani na sasa hivi!
Yaani Sijajua Role ya Tpdc sasa hivi!
Story za kusogeza muda kwenye vijiwe vya kahawa, eenhee lini.Yaani kwa akili zako za kawaida inadhani mama alikua mfuasi wa magu , kwel ww ndio hujui lolote , wakati kuna kipindi alitaka kuondoka kwenye nafasi aliyokuwepo ,wakongwe waka mplease tu ,.
naa ### na, nyi #### nyieKweli eeeh,na maji naa umeme mgao ulikua hausemwi na sisi hatuoni pia.
Ila nyi jamaa nimeamini Sasa mnaweza kugeuza jiwe kua almasi.
Ujembe #### Ujumbe, Bado unaendelea kuchapia tu?? [emoji1][emoji1]Okay ila ujembe ume uelewa, typing errors hizo
Daah asante😀😀Ujembe #### Ujumbe, Bado unaendelea kuchapia tu?? [emoji1][emoji1]
Hayo ndio mnayoweza utasema tuko kwenye chumba cha mitihani shida watu wasioweza kujiongeza jenga hoja acha kukariri maisha.Punguza mihemko, uwongo #### uongo.
[emoji1][emoji1][emoji1]Daah asante[emoji3][emoji3]
Punguza mihemuko. Lete hoja iliyopangiliwa vizuri ili tukupatie majibu mujarabu. Achana na hizi blaah blaah.Hayo ndio mnayoweza utasema tuko kwenye chumba cha mitihani shida watu wasioweza kujiongeza jenga hoja acha kukariri maisha.
Crude au?[emoji631] Kule Alska na awii amejanza mafuta mpaka maeneo hayo yakuwa na tetemeko la Ardhi kutokana na mzigo mzito
Na ni ukwerii kweri kwerii"Na huu ndio ukweri wenyeweee"
Wewe utakuwa mwalimuPunguza mihemuko. Lete hoja iliyopangiliwa vizuri ili tukupatie majibu mujarabu. Achana na hizi blaah blaah.
Ujue unaongea na baba yako[emoji57][emoji57]