Mama naye anabeba bila kujua watoto wa mjini wanamtegeshea.Kwenye issue kama mabadiliko ya gharama za kuunganishiwa umeme humsikii, anamsogezea mama, ili yeye abakie clean
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mama naye anabeba bila kujua watoto wa mjini wanamtegeshea.Kwenye issue kama mabadiliko ya gharama za kuunganishiwa umeme humsikii, anamsogezea mama, ili yeye abakie clean
Mkuu kama hukulitarajia hili pole sana maana ofisi kuu ndiyo iliyoanza kwa kumsajiili bwa tony. Sasa unataka hizo ofisi zingine zifanyeje na wameshaambiwa urefu wa kamba zao ndiyo factor? Kwani february yeye haujui utamu wa dola na hizo pamba za guchi na wengineo anazozipenda ni nani atazigharamia kama si hiyo mikataba?Zile zama za makampuni ya nje kupiga hela kwa mgongo wa ushauri zimerudi.
TPDC imeingia mkataba ya kampuni ya Uingereza za Baker Botts kwa ajili ya ushauriwa kisheria kwenye mikataba ya gesi.
Hivi aanzania bado hatuna kampuni zenye uwezo wa kutoa ushauri wa kisheria hadi tutoe Ulaya?
View attachment 2095378
Zile zama za makampuni ya nje kupiga hela kwa mgongo wa ushauri zimerudi.
TPDC imeingia mkataba ya kampuni ya Uingereza za Baker Botts kwa ajili ya ushauriwa kisheria kwenye mikataba ya gesi.
Hivi aanzania bado hatuna kampuni zenye uwezo wa kutoa ushauri wa kisheria hadi tutoe Ulaya?
View attachment 2095378
Si umeonaakamna kamabyupo pale kwenue ku sign?... TPDC si iko chini ya wizara gani?
Baba Mikataba Kabudi si yupo? Kazi yake ni nini sasa ? 😝😝Muda utasema.
CCM ni laana kwa nchi hiiSisi tunaweza porojo na kubambikiana kesi. Mambo ya mikataba ya mafuta au gesi hatuna muda nayo. Na hizo firm, tukishtakiana kesi haziwezi kusikilizwa huku kwa washenzi. THAT IS WHAT CCM HAS MADE OUR NATION AFTER 60 YEARS
Huko kwenye mimi ushauri wangu ni kupunguza Tozo tu, na ndicho huyo beberu atawashauriZile zama za makampuni ya nje kupiga hela kwa mgongo wa ushauri zimerudi.
TPDC imeingia mkataba ya kampuni ya Uingereza za Baker Botts kwa ajili ya ushauriwa kisheria kwenye mikataba ya gesi.
Hivi aanzania bado hatuna kampuni zenye uwezo wa kutoa ushauri wa kisheria hadi tutoe Ulaya?
View attachment 2095378
Huko TpdcHuko kwenye mimi ushauri wangu ni kupunguza Tozo tu, na ndicho huyo beberu atawashauri
Zile zama za makampuni ya nje kupiga hela kwa mgongo wa ushauri zimerudi.
TPDC imeingia mkataba ya kampuni ya Uingereza za Baker Botts kwa ajili ya ushauriwa kisheria kwenye mikataba ya gesi.
Hivi aanzania bado hatuna kampuni zenye uwezo wa kutoa ushauri wa kisheria hadi tutoe Ulaya?
View attachment 2095378
Hujuia hata maana ya transaction advisor ,unafikiri LNG ni kazi ya kusupply stationery!Hivi ushauri kama huu hauwezi kufanywa na wanasheria wa serikali?
Serikali iliamuru watafute kampuni?
Tupe hiyo CV ya huyo Legal kwanza ,vinginevyo unaleta umbea tu hapaDuuh kwahiyo wanasheria wa Tanzania ni vilaza kwenye issues za sheria za mafuta ??
Anyways.....
Head wa Legal kasoma Masters UK.
Kazi imekua outsourced UK.
Connecting the dots.
Ipo ndani ya urefu wa kamba.
JPM ndio nani? Zingefanyika bila shaka LPG ya Lindi ingeshaanza.KWa hiyo wakati wa JPM kazi za ushauri hazikuwa zinafanyika?
SGR kumbe inajengwa na kampuni toka CHATTO AiseeMakamba angeweza kuleta kampuni la kigeni litushauri kuhusu ATCL , ujenzi wa bwawa na SGR maana tayari amefanya hivyo Tanesco amewapa wahindi na TPDC amewapa waingereza
Ni zambi?Si umeonaakamna kamabyupo pale kwenue ku sign?