The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Huwaonagi mahakamani? Hata hivyo ,hii ni ishu ya biashara ,hatuna wanasheria mahiri kwenye majadiliano ndio maana hata baba Mikataba hakuna cha maana alileta kwenye makinikia licha ya taarifa ya profesa kusema tumeibiwa Sana na Mwendazake kujigamba weeee.Duuh kwahiyo wanasheria wa Tanzania ni vilaza kwenye issues za sheria za mafuta ??
Anyways.....
Head wa Legal kasoma Masters UK...