sinza pazuri
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 3,344
- 9,066
Makamba atapiga sana ile wizara
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
DuhYaani ingekua vizuri iyo mikataba ingekua na uwazi, tusome wananchi wote kupitia mitandao au gazetini. Tujue nini.
Unaweza kuta iyo kampuni consultation fee tuu inayopokea ni robo tatu ya bajeti yetu ya dawa.
Hii nchii ccm sijui tuliwakosea nini
Makamba atapiga sana ile wizara
Huyu jamaa mnamchukia bure tu....angalieni msijichumie dhambi.Makamba ameingia na upigaji wa aina yake!
Lango liko wazi,watu wanajipimia tu!
Wiraza ya madini... natural gas sina hakika kama jmakamba ni member... TPDC si iko chini ya wizara gani?
Tatizo ni English? Mkuu Ina maana hayo mazungumzo hayawezi kuwa kwa kiswahili?
Local firm gani ina uzoefu na mikataba ya Gesi?Hakuna Local Firm inayoweza Kufanya hio kazi??
Local firm gani ina uzoefu na mikataba ya Gesi?
Vitu vingine ni bora kutafuta msaada kuliko kuleta ubish halafu tuangukie pua. Hawa kina Rex Attorneys na Mkono Advocates walikuwa wanaiwakilisha TANESCO na kila siku walikuwa wanakula knock out kwenye kesi.
Ni kweli kabisa, Mkono wenyewe walikuwa wanatumia British Lawyers, lakini Watanzania wasiojua eti wanadhani "Mzalendo" Mkono anaenda kwenye kesi kama yeye.Mkono Adv walikuwa wanakodi mawakili wa nje kuiwakilisha / kuitetea Tanesco.
Amewekwa pale kimkakati. Subiri biashara ya ma-generator ianze. Wasomi wa Kitanzania hawana chao tena.Makamba atapiga sana ile wizara
Amewekwa pale kimkakati. Subiri biashara ya ma-generator ianze. Wasomi wa Kitanzania hawana chao tena.
Mkuu nakuomba tu upitie wasifu wa hiyo kampuni ya Baker Botts ndio utajua maana ya law firm infact wanasheria wetu ni kwa ajili ya kutafsiri vifungu ,hatuna wanasheria ambao unaweza sema ni commercial lawyers .Leo wansheria wetu wasipopewe standard draft contract hawezi andaa mkataba wa kibiaasharaMiaka 60 ya uhuru hatuna law firm ya kuiamini? Pale jalalani anapotoka kabudi kumbe ni jalalani kweli.
Mkuu,tatizo kubwa hapa jamii forum wengi wanajua kulaumu tu na kwa kuwa kwa zaidi ya miaka kumi walilishwa sana matango pori na uwelewa wao mdogo basi ni shida tupu .Ni maajabu sana wanapinga hata issue za kitaalamuHao mnaowaita mabeberu ndio wanaoendesha shughuli za nchi nyingi duniani.
Hizi kampuni ni kama kampuni nyingine....
Hivi hap nchini tuna law firm yenye ,Engineers,Economist,Financial specilist,gas engineers ?Miaka 60 ya uhuru hatuna law firm ya kuiamini? Pale jalalani anapotoka kabudi kumbe ni jalalani kweli.