Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizo ndio huitwa "Cash cow"hapo wazee WA wizarani wataongeza cha Juu ili wapige pesa,Zile zama za makampuni ya nje kupiga hela kwa mgongo wa ushauri zimerudi.
TPDC imeingia mkataba ya kampuni ya Uingereza za Baker Botts kwa ajili ya ushauriwa kisheria kwenye mikataba ya gesi.
Hivi Tanzania bado hatuna kampuni zenye uwezo wa kutoa ushauri wa kisheria hadi tutoe Ulaya?
View attachment 2095378
Brother hivi unaelewa kweli wanachosema wenzio?https://www.bakerbotts.com/,jaribu kulinganisha na local firm ndio utuletee majibu hapa
Wakiwapa wazawa wenye uwezo wanaweza kabisa hii kazi. Ila ubaya wangezipa kampuni za wanasiasa, kama ya mkono au REX.Kwa nini hiyo kazi wasingepewa wazawa?
Wote wanakula kwa urefu wa kamba zao. Hamkujua January ni mtu wa madeal?Makamba so far alichofanikiwa Ni kuingia contract na ma co. Mbalimbali.Mara Ile ya wahindi,ghafla imekuja hii ya waingereza.
Lkn humsikii akitafuta solution ya kudumu ya kukatika kwa umeme.
Mama anaponya nchi.
Ndio maana ya kuupiga mwingi.Wote wanakula kwa urefu wa kamba zao. Hamkujua January ni mtu wa madeal?
... TPDC si iko chini ya wizara gani?
Zile zama za makampuni ya nje kupiga hela kwa mgongo wa ushauri zimerudi.
TPDC imeingia mkataba ya kampuni ya Uingereza za Baker Botts kwa ajili ya ushauriwa kisheria kwenye mikataba ya gesi.
Hivi Tanzania bado hatuna kampuni zenye uwezo wa kutoa ushauri wa kisheria hadi tutoe Ulaya?
View attachment 2095378
Haha kitu ambacho hakiwezekani katuHizo ndio huitwa "Cash cow"hapo wazee WA wizarani wataongeza cha Juu ili wapige pesa,
Sasa hv,
Yaani unayemuuzia ndio anakushauri! Hata mtoto wa darasa la saba angejua hapa unapigwa tu!
Yaani hii mijitu ni mijizi sana,sio kwamba haijuhi, inajua inajenga mazingira ya kupiga,
Yaani Urusi imuuzie Ujerumani gesi harafu itumie kampuni kutoka ujerumani kuishauri Kuhusu maswala ya sheria!!
Tatizo ni English? Mkuu Ina maana hayo mazungumzo hayawezi kuwa kwa kiswahili?..mkiambiwa mjifunze KIINGEREZA hamtaki.
..sasa subirini muone WAKENYA ktk hiyo kampuni.
Unamaanisha nini?Tatizo lililopo hats we we unalo.
Kwa kuacha kufanya kazi na nchi za mashariki ya kati. Hatua ambazo tz inaanza kuchukua zilishafanywa na nchi kama Qatar miaka zaidi ya 30 iliyopita. Badala ya tz kutafuta watu wenye uzoefu na masuala hayo tunaenda kufunga ndoa na mabeberu. Wasio hats na kisima cha maji huko kwao.
Yote hii inatokana na ubaguzi.
Mathalan management za halmashauri zilizo za utamaduni kama was waqatar hapa tz zimeshikwa na watu wa mbali. Wakati wazawa wana watoto na wajukuu zao wamesoma lkn hawana kazi