Nadhani hata hujui maana ya Transaction Advisor ndio maana umeamua kupiga kelele tuProfile ndio kitu gani?
Tunaongelea vitu vya msingi hapa wewe unaleta ushambenga.
Profile yao iwe kubwa ama ndogo inatuhusu nini sisi Watanzania?
Hii mada huiwezi, kajadiliane huko Instagram na kila Shilole.