makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Kwa kuwa sisi wenyewe ni mapopoma, hawa waduwanzi watatufanya wajisikiavyo mpaka mwisho wa dunia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh kazi iendelee kweliZile zama za makampuni ya nje kupiga hela kwa mgongo wa ushauri zimerudi.
TPDC imeingia mkataba ya kampuni ya Uingereza za Baker Botts kwa ajili ya ushauriwa kisheria kwenye mikataba ya gesi...
Well, hapa nataka kukubaliana nawe Mambo kadhaa Ila with qualifications,.Mkuu samahani nami naomba MUNGU anifungulie ulichokiona wewe...
Ila Kwa sasa hivi naona Tanzania hamna wanasheria wa “Mafuta na Gesi” unajua sheria zinatofautina...Sheria ya Mafuta na Gesi na Mikataba Watanzania wangapi wanaijua hii?
...
https://www.afdb.org/fileadmin/uplo...sor_for_Government_Negotiation_Team__GNT_.pdf ilitangzwa wakati hata Makamba sio waziri ,kima weweMuda utasema.
https://www.afdb.org/fileadmin/uplo..._Government_Negotiation_Team__GNT_.pdf,zabuni ilitangazwa wakati makamba hakuwa waziri ,kima weeeMakamba hafai kwa lolote serikalini, asiuhadaa umma wa watanzania. Hakuna kitu kitabadilika chini yake zaidi ya kuongezeka kwa matatizo. Acha aendelee kuuficha ukweli ila muda utaweka bayana ndipo huyo aliyembeba atamtua kwa uzito atakao mpa.
Haha hahaaaa... Kwamba "Chawa, tunafukuza Chawa" [emoji16]TPDC inadeal na maswala gani??
Hawana kitengo cha sheria??
Ni vigumu sana kujadili jambo na mtu mwenye interest.
Mwache mwenzio afanye kazi, aliyemteua ndio anajua umuhimu wake, majungu hayasaidii, leo Makamba angetangaza kupanda bei za mita bila kumsikia mama aliagiza, ingekuwa balaa kwake, mnamfanya mtu asijiamini!Makamba hafai kwa lolote serikalini, asiuhadaa umma wa watanzania. Hakuna kitu kitabadilika chini yake zaidi ya kuongezeka kwa matatizo. Acha aendelee kuuficha ukweli ila muda utaweka bayana ndipo huyo aliyembeba atamtua kwa uzito atakao mpa.
Offshore drilling sio kitu rahisi na unajua ukweli ni kwamba Tanzania hakina chuo kinatoa course ya oil and gas au Masters, wengi waliosoma wameaoma UK au Marekani.Ina maana wanasheria wetu hawana uwezo
Ova
Je, Prof. Palamagamba Kabudi ambaye ni Mwandani wa Rais wa ushauri na majadiliano ya mikataba ya kimataifa amehusishwa? Au naye tayari kama Nimrod Mkono ameishapigwa kwa mkono wa mbwa (ameishalambishwa asali ya Tabora yenye Nicotine ya Tumbaku)?Zile zama za makampuni ya nje kupiga hela kwa mgongo wa ushauri zimerudi.
TPDC imeingia mkataba ya kampuni ya Uingereza za Baker Botts kwa ajili ya ushauriwa kisheria kwenye mikataba ya gesi.
...
Tunayo kampuni yenye ofisi hadi barani Ulaya, ni "Mkono & Company Advocates.Hivi Tanzania bado hatuna kampuni zenye uwezo wa kutoa ushauri wa kisheria hadi tutoe Ulaya?
Sasa hapo ndiyo wazungu hawamtakagi Prof. Kabudi kwasababu wanasema anawapaga shida ya kubeba Dictionaries hadi 3.Kila siku tuna waambia ng’eng’e ndiyo ufunguo wa kila kitu, mtumishi wa serikali unaingia kwenye ‘negotiation’ wakati ng’eng’e cheche lazima upigwe tuu alafu wananzengo wahakuelewi, afadhari TPDC wamevunja ukimya!!
Unafikiri wajapan au wachina wakiwa katika negotiations na mabeberu wanajali hilo ng'eng'e, na sio lazima ujue ng'eng'e katika haya mambo unaweza kutumia mkalimani, kiingereza is overated na wanaoburuzwa na hiyo lugha ni maskini tuu wasiojiamini, manchi kama China au Russia wakija mezani ni kirusi au kichina tuu ni juu yako kutafuta mkalimani ili uwaeleweKila siku tuna waambia ng’eng’e ndiyo ufunguo wa kila kitu, mtumishi wa serikali unaingia kwenye ‘negotiation’ wakati ng’eng’e cheche lazima upigwe tuu alafu wananzengo wahakuelewi, afadhari TPDC wamevunja ukimya!!
Zile zama za makampuni ya nje kupiga hela kwa mgongo wa ushauri zimerudi.
TPDC imeingia mkataba ya kampuni ya Uingereza za Baker Botts kwa ajili ya ushauriwa kisheria kwenye mikataba ya gesi.
Hivi Tanzania bado hatuna kampuni zenye uwezo wa kutoa ushauri wa kisheria hadi tutoe Ulaya?
View attachment 2095378
Kwani Wachina watakaotaka kununua/kuwekeza kwenye gesi watakuja ng'eng'e?Kila siku tuna waambia ng’eng’e ndiyo ufunguo wa kila kitu, mtumishi wa serikali unaingia kwenye ‘negotiation’ wakati ng’eng’e cheche lazima upigwe tuu alafu wananzengo wahakuelewi, afadhari TPDC wamevunja ukimya!!