TRA 2025: Tupeane Mbinu za kufaulu Usaili (Interview) Za TRA

😹😹😹 Labda ajira za ZRA ila km TRA narudia tena atajichosha..!
Wewe unafananisha miaka yako ya enzi ya mwalimu na ajira za ss hivi..!
Acha watu waombe don't preach negativity

Kuna watu kiasili they will never win any success battle .

So usiwakatishe watu tamaa WTF Kama wewe ulikosa amini tu ni wewe .
 
Mkuu hapoo n MAOMBIII tyu

MWAKA Jana nilikuwa na shemejio WA Uganda pale sinzaa hotel Moja

Wakati nakula lunch jamaa MMOJA PEMBEN anaelekezwa jinsi ya kujibu hayo maswali ya tra na interview keshoyake na hadi calculations.,naamini jamaa Yuko kazini kwa sasa...ningejua ningechukia namba yake ingawa jamaa alikuwa kama anauwoga pemben nani baadae WAKAHAMIA mezan ya mbali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…