TRA 2025: Tupeane Mbinu za kufaulu Usaili (Interview) Za TRA

TRA 2025: Tupeane Mbinu za kufaulu Usaili (Interview) Za TRA

Habari dears, jamani inakaaje unaapply alafu unapata ujumbe kuwa ''your job application is not completed, TRA reminds you to complete'' na wakati nilisubmit please msaada iliemkuta hii
 
Na walivyojaa wachaga sasa 😹😹
Wachaga nawakubali kwa kunusa fursa na wengi wanawekana..!!
Sijui waliambiwa ni mali yao mpk wanarithishana 🤣
mchaga ana radar ya fursa, mahali ambapo watu ahwaoni wao wanaona. Is why baadhi ya watu wana chuki na hawa jamaa
 
Kuna anayeelwa au kujua submit tab.ilipo maana naona.hizi.website ziko kiswahili swahili.
 
Mkuu unapotosha, transcript ni kwa ambao hawana vyeti (hii ni options kwa wanachuo ambao wamemaliza ila vyeti havijatoka) na pale wasingeweza kueleza sababu kwa common sense ya darasa la saba C huwezi kuchanganya hivyo vitu viwili sehemu moja
Wewe ndio haupo sahihi, ata ukifanya application za Law school Cheti na Transcript una attach kama document moja.

Ingia Google au You tube uliza jinsi ya combine 2 documents to be 1 PDf document.

Au kama una simu janja download PDF for editing, Split or Merger
 
Dah aseee mbona mm vyeti sijavicertify na nimeshatuma mambo...Aseee imeniuma sana hii
Wewe huwezi kupata kazi maana hujitambui. Unaona nafasi zimetangazwa unakimbilia kuomba wakati hata tangazo hujalisoma?

Pole sana.
 
Certify vyeti chap, Tengeneza email mpya utume Tena, Bado sku mbili changamka.
Mwaka juzi watu hawakuitwa kwa sababu ya kuwa na accounts mbili mbili, wenzio walitoa ushahidi hapa hapa jukwaani.
So usimpotoshe mwenzio.
 
Dah aseee mbona mm vyeti sijavicertify na nimeshatuma mambo...Aseee imeniuma sana hii
Kama kuna sehemu ya kuedit,nenda kaverify vyeti kisha ondoa hivyo ambavyo haviko verified then weka ambavyo viko verified.update the changes.
 
Jamani hamna aliepata meseji kuwa hajakamilisha maombi??? wakati kakamilisha
 
Dah aseee mbona mm vyeti sijavicertify na nimeshatuma mambo...Aseee imeniuma sana hii
uta edit mkuu usijali<nenda kwa wakili chap kisha ingia kwenye vyeti vyako ulipoattach afu kisha weka vyenye muhuri
kuna sehemu ya ku edit na una upload kingine
 
Mwaka juzi watu hawakuitwa kwa sababu ya kuwa na accounts mbili mbili, wenzio walitoa ushahidi hapa hapa jukwaani.
So usimpotoshe mwenzio.
Account nyingine anaitengeneza Kwa jina tofauti kabisa sio lile lile afu anaitumia kutumia maombi, then atakuja hapa kunishukuru.
 
Naona mtoa Uzi katoa Uzi mzuri Sana kuna kitu amesema kama mwenye Link ya magroup ya Whatsapp kutokana na nafasi za kazi mbalimbali basi aweke link Ili kwa watu wasio kuwa na link hizo wazipate kwa ajiri ya discussion lakini Kila mtu anaongea lake nje kabisa na mada ya mtoa UZI.
 
Back
Top Bottom