Makala pia anaonekana ana siasa za chuki ndo maana hata kwenye tamasha la Diamond alianza kuleta zake maneno ya kisiasa!Hii issue kafanya Amos Makala...
Ni mtu wa siasa chafu za kulipiza kisasi baada ya bwana mmoja kuweka bango la OKOA BANDARI katika bar hiyo
kwako labda hamna kitu sasa hiviCask Bado ni Top manyota Mwanza .... na imeshakua Brand nambari moja ya starehe baada ya Villa kufa kibudu...
ndio ndioInawezekana ila anayefahamika ni Makanyaga!
Yes Kwangu na Kwa Mwana Mwanzakwako labda hamna kitu sasa hivi
Ka mwingine aliwahi kusema....hajui Kwa Nini Tanzania ni Maskini!Mama samia anatuma mabalozi wetu wakaulize viongozi wa nchi walizopangiwa eti wanatumia Uchawi gani kuleta maendeleo katika nchi zao. Asalalee
Namuaminia Joe makanyaga ska big joeThe casket inaenda kuondoka na watu
Kijiwe chako kilikuwa [emoji1]Na siku hizi imepoteza mvuto ..