TRA: Hatuhusiki kwa namna yoyote ufungaji wa 'The Cask Bar' jijini Mwanza

TRA wametoa tamko mda mfupi uliopita kwamba hawausiki na ufungaji wa bar ya the cask na hii itakua ni baada ya wamiliki wa bar kwenda TRA

Hii pia inaonyesha rangi halisi ya waafrika walio wengi kukomoana, na pia upeo mdogo sana wa mkurugenzi alisahau kwamba wenye baa lazima wataenda TRA kwa maelezo zaidi, na madhara ya kuwaajiri makada kwenye kazi muhimu kama hizi za ukurugenzi
 
Nimeona Tangazo la TRA kwamba wao hawahusiki kwa chochote kufungwa Bar ya CASK huko Mwanza

TRA wameombwa Umma uwasiliane na Mamlaka husika

Tangazo limetolewa kupitia twitter
 
Hiyo CASK bar inamilikiwa na nani? Iko wapi? Taarifa hazijitoshelezi
 
Shida imeanzia hapa
 

Attachments

  • VID-20230817-WA0004.mp4
    7.9 MB
Hata kama Rostam alishatueleza kuhusu Mahakama zetu nashauri wamfungulie kesi huyu Mkurugenzi.
Amewachafulia jina hao jamaa na kuonekana wahuni tu...bila kusahau hasara aliyosababisha....
Mambo ya namna hii hayatakiwi
 
Nchi ya Matamko na maamuzi ya watu binafsi bila kufuata sheria inasemaje....

Hivi Sheria hazijulikani ? Kwanini zisifuate mkondo wake na sio kwa huyu tu bali kwa wote ili kuwe na level playing field sio mwingine analipa mwingine halipi; mwingine anasamehewa mwingine wala hasumbuliwi...
 
Chezea DP world weye!!
 
Tatizo ni mfumo tu!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…