Pac the Don
JF-Expert Member
- Feb 17, 2021
- 6,170
- 7,710
Chezea DP world weye 🤣🤣🤣Nimeona Tangazo la TRA kwamba wao hawahusiki kwa chochote kufungwa Bar ya CASK huko Mwanza
TRA wameombwa Umma uwasiliane na Mamlaka husika
Tangazo limetolewa kupitia twitter
Ile bar ni kubwa sio rahis kukosa hivyo vituLabda anadaiwa Kodi ya Halmashauri..
Possibly hakuwa amerenew au hakuwa nayo....
mie mwenyewe mwana mwanzaYes Kwangu na Kwa Mwana Mwanza
Sanaaaa.. nilikuwa nashinda hapo enzi zanguKijiwe chako kilikuwa [emoji1]
Ova
Kamanda mwenye gwanda yupo kazini Hadi usiku!!!, upekuzi nawe ulikuwa hapo nn!!Shida imeanzia hapa
Isijekuwa imefungiwa na UVCCM😁Shida imeanzia hapa
Haya nakuja Mwanza mwisho wa mwezi tukafanye Research kuanzia Malaika, Cask, Bundesliga, Gold Crest, Taiwan, The Breeze, City Link, DV 8, Mwanza City...e.t.c wapi wanavibemie mwenyewe mwana mwanza
Ufafanuzi utaupata Lumumba.... lakini Taarifa zilizopo ni kwamba wamefungiwa kwa kutokulipa kodi ninyi kama TRA na CASK akiwa kama mteja wenu mmechukua hatua gani zaidi ya kukanusha hamuhusiki ?
poa karibu mkuu.. mademu hupendi ?Haya nakuja Mwanza mwisho wa mwezi tukafanye Research kuanzia Malaika, Cask, Bundesliga, Gold Crest, Taiwan, The Breeze, City Link, DV 8, Mwanza City...e.t.c wapi wanavibe
Ni sawa qnaweza kuwa navyo...Ile bar ni kubwa sio rahis kukosa hivyo vitu
ZRB.
Mmiliki ni ngoma ngumu mtoto wa mjini,fighter Joe makanyagaHiyo CASK bar inamilikiwa na nani? Iko wapi? Taarifa hazijitoshelezi
It's about time for him to be thrown out once and for all !!Hata mteuzi nae sijui huwa anahongwa au anapigwa kipapai. Makala ameshajichokea, ameonesha hawezi basi system imtupe wachukuliwe vijana bado hii nayo haitasaidia kwasababu the core engine ni katiba mbovu inayowafanya wateuliwa kuwa walamba makalio ili walinde ulaji.
Kamanda mwenye gwanda yupo kazini Hadi usiku!!!, upekuzi nawe ulikuwa hapo nn!!
Nakumbuka,hahahaSanaaaa.. nilikuwa nashinda hapo enzi zangu
Basi wakipeleka kesi mahamakamani wanashinda na fidia wanalipwa mawakili mbona kama mchongo huu apa sema huko Nako pia Mambuzi wapoWaliofunga ni Halmashauri ya Jiji.
Kutetea swala la Bandari. Upuuzi mtupu.
Kuokoa bandari ina tafsiri pana. Kuleta uwekezaji na hivyo kupanua wigo wa wateja ni namna moja ya kuokoa bandari.
Kuacha bandari ibaki patupu bila ya shehena za mizigo ni kuiua bandari yetu.
Akili finyu sana.
maelezo kidogo chifuThe casket inaenda kuondoka na watu