Wanaoibiwa ni akina nani? Na wanaoiba ni Akina nani?Nadhani hii ni michezo ya kutuibia kupitia Riba za ajabu, tunakopeshwa pesa zetu wenyewe halafu tunalipishwa riba 40% kupitia mikataba ya siri ya kishenzy
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanaoibiwa ni akina nani? Na wanaoiba ni Akina nani?Nadhani hii ni michezo ya kutuibia kupitia Riba za ajabu, tunakopeshwa pesa zetu wenyewe halafu tunalipishwa riba 40% kupitia mikataba ya siri ya kishenzy
===
Tangu Uhuru wa Taifa hili la Tanzania hakuna kipindi chochote katika historia ya ukusanyaji kodi|mapato tulikusanya TZS 2.51Trilioni kwa mwezi mmoja,
Pamoja na kwamba ukusanyaji kodi wa awamu hii ya Sita ni rafiki na hakuna kukimbiza wafanyabiashara wala zile Presumptive Tax Accessment hazipo tena, Hakika hakuna kama Rais Samia Suluhu Hassan,
View attachment 2065695
Basi ni wakati sasa mzee wa tozo mwigu aje atupe taarifa ya tozo...tujue kukusanya ngapi na zimefanya kazi gani mpaka sasa.Yanajitegemea.
Kila source ina mpangilio fulani wa matumizi ,vyote vinaonekana kwenye mchanganuo wa matumizi wakati wa bajeti na Kuna wakusanyaji tofauti wakiongizwa na TRA, taasisi mbalimbali, Halmashauri,nk kama inavyoonekana hapa 👇Kwani pesa za TRA ni za kwao au zinaenda hazina na kupangiwa matumizi, ikiwemo madarasa na madawati kama wanavyodai wanakopea?
Wewe ni Nani unayetoa maelezo haya? Una mamlaka gani?! Thibitisha hoja zako hapa....siyo unaropokaropoka tu as if wewe ni waziri wa fedha au gavana mkuu wa benki...Sio kweli mkuu deni linapungua sema shida kubwa ni mikopo yenye masharti ya kibiashara ambayo ni 40% ya deni lote.
Nadhani hapo serikali itapunguza au kuacha Kukopa kabisa mikopo ya kibiashara na hiyo ilikopwa zaidi na Mwendazake ndio imeiva mapema na kukuza deni kwa zaidi ya til.10 ..
Deni la serikali kwa sasa ni til 82 but wakilipa litarudi kwenye til.70 hivi..Kiujumla mama kakopa til.10 kama walivyopanga kweybajeti sasa plus riba ndio ikafika til.82 but watalipa hiyo 10 litabaki kwenye 70..
Swala kubwa hapa ni Serikali haikusanyi mapato kwa kiwango kinachotakiwa,watu hawalipi Kodi.Tunaweza kukusanya til.30 kutoka TRA tuu na sio til 22 wanayo project
kama kila mtu akilipa Kodi na tukalipa hata til.15 au zaidi
Heshima yako Mkuu wangu, Asante kwa Comments zako humuDaaah!
Am speechless,
Hii rekodi ya kodi ya mwezi haijawahi kufikiwa tangu Uhuru hata mwendazake na kunyang'anya watu pesa hakuwahi kuifikia rekodi hii,
Hongera sana Mama Samia, Kaziiendelee
umeambiwa zilizokopwa ni kwa ajil ya miradi mikubwa, hizo zilizokusanywa ni za kuendesha nchi ikiwemo mishahara na mambo mengnTRA inasema lake, waziri mkuu amasema lake, Rais anasema lake, sasa 1.3 Trilion mlikopa za nini iwapo mlikusanya 11 Trilioni?
Wote wako kimya Sana,Habari mbaya sana hii Kwa waburundi a.k. a Sukuma Gang a.k.a Washamba F.c
Mafanikio ya Samia yanazidi kuwapa ugonjwa wa moyo😂😂😂
Kazi ya tozo pamoja na mambo mengine ni hii hapa 👇Basi ni wakati sasa mzee wa tozo mwigu aje atupe taarifa ya tozo...tujue kukusanya ngapi na zimefanya kazi gani mpaka sasa.
#MaendeleoHayanaChama
Mimi ni 👇Wewe ni Nani unayetoa maelezo haya? Una mamlaka gani?! Thibitisha hoja zako hapa....siyo unaropokaropoka tu as if wewe ni waziri wa fedha au gavana mkuu wa benki...
Mama ni [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91] Bora Mungu alituondolea yule jamaaaMamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imekusanya TZS trilioni 2.51 Desemba 2021, kikiwa ni kiwango cha juu zaidi kuwahi kufikiwa tangu kuanzishwa mamlaka hiyo mwaka 1996.
Aidha, Julai - Desemba 2021, TRA imekusanya TZS trilioni 11.11, sawa 98% ya lengo la TZS trilioni 11.302.
View attachment 2065326View attachment 2065327
Tunakuja na utaratibu wa kuwasaka wakwepa Kodi wote,subiria reading ya kikao kijacho cha bajeti kuanzia aprilDah....ajabu sana....binafsi nilikuwa nachangia Kodi serikalini 15,000 Hadi 20,000 kila mwezi....Ila Disemba hii nimechangia 750 tu....wote tunapenda raha.....mnisamehe tu,🤭
Kama hujaenda skuli basi huwezi kuelewa kwani walikopaTRA inasema lake, waziri mkuu amasema lake, Rais anasema lake, sasa 1.3 Trilion mlikopa za nini iwapo mlikusanya 11 Trilioni?
😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆
Unafikiri kwa nini leo wameamua kutoa huo waraka?!
Jiongeze.
Go back to skulUmeniwahi au wanapika data Hangaya asionekana kashindwa kukusanya Kodi.
Inaonyesha kuwa wewe ni samurai wa ujinga.Demokrasia siyo kudra ya mtu wala mapenzi ya mtu bali ni haki yangu ya kikatiba.
Nina haki ya kufurahia haki zangu za kikatiba.
Wewe unaona kuwa kufurahia haki zako za kikatiba ni mapenzi ya Rais aliopo madarakani kwa sababu wewe ni samurai wa ujinga.
Halafu wewe unawakilisha akili za Watanzania walio wengi ndiyo maana ndani ya miaka sitini ya uhuru bado tunahangaika na vitu vidogo sana kama vile matundu ya vyoo katika shule zetu,umeme,maji na kadhalika.
Kwa mara ya kwanza naona bajeti ya serikali inakwenda kutekelezwa kwa zaidi ya 90% kama ilivyopangwa..(Til.36.5)Mama ni [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91] Bora Mungu alituondolea yule jamaaa
HUNA AKILI KICHWANI. MFUMO WA TRA UKO WAZI NA UNAONESHA JINSI MAPATO YANAVYOKUSANYWA KWA KILA MKOA NA KILA AINA YA KODI ILIYOLIPWA. Mfano Withholding taxes, stamp duty, bed night, CIT, PIT nk. Ukimuuliza ndugu au Rafiki aliyeko TRA mkoa wowote atakuambia hiko kiwango maana kinaonekana wazi na kila mkoa inaonekana wamekusanya kiasi gani.Umeniwahi au wanapika data Hangaya asionekana kashindwa kukusanya Kodi.