KateMiddleton
JF-Expert Member
- Mar 15, 2021
- 3,883
- 4,676
Kulikuwa hakuna ulazima wa kukopa...una assessment gani ama taarifa gani ku'prove hilo?.Mapovu ni muhimu pale serikali isipofanys vizuri...ikifanya vizuri ni muhimu pia kuipongeza...narudia kulikuwa hakuna ulaxima kuchukua mkopo huo wa IMF...hakuna upotoshaji hapa...hatuko hapa kusifu Kila kitu...sisi ni watu waelewa....