Sio na karoho ka korosho kama kawaida ya mbongo?Mkuu huo ndo uhalisia na hilo ndo tatizo lililopo maana haiwezekani Legacy BM9 au VW Jetta ya 2009 ziwe na CIF kubwa maana hawa washamba wakiona muundo wa gari zuri tu wanaweka CIF $9000-11,000, Subaru Forester SG9 au SH9 ushuru 17,000,000 na kuendelea hadi unashangaa
Siyo swala la mtu katoka wapi, hiyo ni sera ya serikali hata ukienda wewe hapo TRA utatumia formula hiyo hiyoTatizo kubwa ni kwamba kwenye kitengo cha Valuation ya magari wamewawela watu waliotoka shamba hivyo kufanya makadirio makubwa ya magari ya kawaida sasa mtu katoka ileje au misungwi kaja mjini chuo kikuu anaambiwa afanye valuation ya VW Touareg au VW Jetta ya 2009 matokeo yake anafanya kodi ya gari ya CIF $3000-4000 kodi yake ina kua 18,000,000 yani faida kubwa inapata serikali zaidi hata ya wanaouza gari
Kuna viwanda vingapi vya kuyeyusha magari skrepa kuwa nondo ?Hoja dhaifu kabisa Tanzania nchi changa bado tunahitaji nondo kwa ujenzi wa miundombinu so hayo magari yakichoka kabisa tunayeyusha kupata nondo
Hata kikijengwa hapa TZ bei ya gari mpya ni kubwa wachache watamuduNdio maana serikali inaomba usiku na mchana kiwanda cha magari kisijengwe tz kwa sababu watakosa kodi kubwa kubwa ya bwelele.
NaamMkuu kikokotoo hakiangalii bei ya gari, kinazingatia umri wa gari, aina ya gari na mafuta ya gari tu.
Mbona tuna viwanda vya sukari lakini sukari hakuna na ikiwepo bei kubwa kuliko nchi jirani. Nchi ishawashinda hii!Ndo mjenge sasa ili bei iwe chee
Nunua hapa hapa bongo...
Hiko kitu hakipo, ila wewe upo na shida ya uwelewa wa kikotoo cha kodi ya magari. Kikotoo kimewekwa kwenye standardization ambayo kwa kila CIF (cost of insurance and Fright) matokeo yake ya kodi hayawezi kuzidi gharama za manunuzi.
Sasa shida inakuja umepata vipi gari kupewa gari bure, kununua gari mnadani, umenunua gari mkononi kwa mtu. Kwahiyo ikiwa gharama ulizotumia kuipata hyo gari zipo china kutokana na makadilio yaliyowekwa kwenye kikokotoo lazima italeta matokeo ya kodi kua kubwa zaidi ya Gharama za gari.
Note; Sheria ya kodi inasema, kodi inakua calculate kwenye CIF *whichever is higer* kati ya makadilio ya CIF kwenye TRA calculator na gharama halisi za gari hadi inafika port(CIF).
Pia, first method ya calculation za kodi ya forodha zinafanyika kwenye gharama halisi( actual transaction value) ila hii kwenye magari inakua applied endapo utatoa Reasonable evidence kua hiyo gari umeipata kwa hiyo gharama kwasababu makadilio ya gharama yalishafanyika na kupata Tools ya kutafuti kodi( TRA calculator).
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuweni wazalendo, nunueni nyumbu nimewahi kuyaona kwenye sherehe gani sijui hayana ushuru wa kuingiza
View attachment 1477424
Kabisa!Hakuna kiwanda cha magari bongo lkn tozo ya magari imeegemea misingi ya protectionism
Hata kama hakipo je hatutakuja kuwa nacho kabisa? Je wanaonunua na kuexport scraper huoni kuwa watakuwa na wigo mpana wa kupata mzigo? Yaani huoni hizo fursa za multiplier effects za kiuchumi? Tatizo bongo tunaongozwa na watu wenye akili ndogo?Kuna viwanda vingapi vya kuyeyusha magari skrepa kuwa nondo ?
Mabeberu weusi ni wabaya maramia afadhali ya beberu mweupeKabisa!
Sijui kwa nini tuna copy na ku paste kila kitu bila kufikiri.
Kama tungekuwa na viwanda halafu tunaweka restrictions za magari kuingia kwa kuweka kodi kubwa hapo Sawa. Lakini kwetu ni tofauti kabisa.
Pia si katika magari tu, bidhaa nyingi zinazalishwa nje na kuuza kwetu bei ndogo wakati vilivyozalishwa ndani bei kubwa kwa sababu ya msululu wa Ushuhuru na kodi.
Sisi ni pumba hasa yaani....!
Hili suala hata bungeni halijadiliwi kwani wabunge wanaona wivu raia wao kumiliki magari mazuri, ila Tanzania kiboko
Huyo haelewi kuwa pamoja na kodi ya umri la gari 30% bado ni affordable kuliko gari lenye umri chini ya miaka 8 ambalo halitozwi kabisa kodi ya umriNenda kaangalie Subaru Legacy BM9 ya 2009/2010/2011/2012 uone gari ni $3500-5000 ushuru wake ni 22,000,000-25,000,000 mzee
Utachoka zaidi endapo gari ikiwa na cc kubwa zaidi!Nimetumia kikokotoo cha TRA nimechoka kabisa, ushuru wa kuingiza gari ni mkubwa kuliko bei ya gari yenyewe