Serikali inatafuta sumu Kali kukomesha upigaji TRA Yani ikikamilika TRA na Halmashauri Ngoma drooSina chuki na wafanyakazi wa TRA bali naongelea uhalisia
TRA ndo inayoongoza kuzalisha mabillionnaire wengi vijana wadogo wanamiaka michache kazini wanamiliki utajiri wa kutishi magari ya kifahari na mahekalu
Kwa sasa-hivi mabillionaire TRA ni jambo la kawaida na miaka ijayo kwa trend hii TRA kupitia wafanyakazi wake watatoa trillionaire
Kama unataka kuwa billionnaire na baadae trillionnaire pambana uingie TRA kama mfanyakazi kule hutumii nguvu kabisa
siyo kweli kabisa labda TRA ya zamaniLabda uwe TRA mfagiaji na mtunza bustani
TRA hatakama haupo kitengo cha fedha kuna connection kubwa sana
Alishakufa, kutokea mwingine sisi hatutakuwepo.Atakapokuja kiongozi kuwapukutisha account zao naomba kelele zisiwe nyingi
Sumu ipi hiyoSerikali inatafuta sumu Kali kukomesha upigaji TRA Yani ikikamilika TRA na Halmashauri Ngoma droo
Kijana wa TRA kitengo cha Audit.Hilo ghorofa kubwa linalojengwa hapo Mugabe ni la nani?
Kweli?Kijana wa TRA kitengo cha Audit.
Fungua wewe kilampuni chako sasa uone watakavyokujazia utitir wa kodi zisizo na vichwa wala migui mpaka utafunga na shghul yenyeweNa hakuna wakuwaulizaa mkuu [emoji23] .
Cc makapuku ukiulizaa nani anakusikilizaa ss.
Ofcz kwa kanuni za uchumi zilivyo, hata asipokuja mtu kufunga account zao, under normal circumstances this kind of fortune never lasts pind wiz endelevu ukikosekana ndio maana inabid uendelee kuibaAtakapokuja kiongozi kuwapukutisha account zao naomba kelele zisiwe nyingi
Bora mkoloni kwa hali hii.mkoloni mweusi hafai kabisaUmejuaje?
Jana nilisema bora mkoloni arudi, tutadai uhuru tukipata akili