TRA inazalisha mabilionea wengi kupitia wafanyakazi wake

Serikali inatafuta sumu Kali kukomesha upigaji TRA Yani ikikamilika TRA na Halmashauri Ngoma droo
 
Watoza ushuru wasio waaminifu, wanasheria wanaopindisha sheria na wafanya Biashara wanaopunja kwenye mizani; Hao ni kati ya makundi yaliyo tajwa wazi wazi kwenye vitabu vitakatifu kuwa, watakuwa na wakati mgumu sana siku ya mwisho (day of judgement!)
Najua watu wanawaona kuwa wamepatia Maisha, lakini kwa Mungu hao ndio wameokota yai.
Wewe fanya kazi kwa bidii na kwa haki katika nafasi yako huku ukimtegemea Mungu, atakufungulia milango mingine ya halali ya kukuongezea kipato!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…