TRA inazalisha mabilionea wengi kupitia wafanyakazi wake

Shamba la Bibi hilo, wanahitaji pongezi kwa kuzalisha vibopa wenye ukwasi.
 
Huyo engineer alipata mke aise.
 
Waziri wa fedha wa nchi Ile, ambayo rais wake aliwahi kulalamika kuwa Kuna mawaziri na viongozi wana kula Sana mpaka wanavimbiwa ni nani vile?
 
Mtoa mada hata wewe ungeajiriwa TRA ungepiga vilevile
Kuna zile deal za kupiga individual na za group so unaweza kuwa mwaminifu usipige individual ila zikije deal za kushirikishwa wengi then ujifanye msabato lazima uundiwe zengwe ama uhamishwe upelekwe kazulamimba kigoma, ufukuzwe kazi au uuawe.
 
Kuna zile deal za kupiga individual na za group so unaweza kuwa mwaminifu usipige individual ila zikije deal za kushirikishwa wengi then ujifanye msabato lazima uundiwe zengwe ama uhamishwe upelekwe kazulamimba kigoma, ufukuzwe kazi au uuawe.
Tunawalaumu Bure TRA sometimes susi wenyewe ndo tunawapa izo rushwa kutaka watusaidie
 
Tra wana mikopo mikubwa sana na aina ya kaxi yao wana posho za kusafiri sana .rushwa sisemi hazipo ila sio kiivo.unataka uwe halmashauri uwe sawa na bot
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…