[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]msaada jaman anayejua jinsi ya kutengeneza bomu la kienyeji linaloweza kulipua nchi..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]msaada jaman anayejua jinsi ya kutengeneza bomu la kienyeji linaloweza kulipua nchi..
Nikweli.. but kuna gape kubwa sanaa ya salary, kuna baadhi ya sekta hawana posho.. Af kuna wengina posho wanajiandikia tu wakiishiwa pesa ya bia... Tz hakuna usawa mkuu..Tra wana mikopo mikubwa sana na aina ya kaxi yao wana posho za kusafiri sana .rushwa sisemi hazipo ila sio kiivo.unataka uwe halmashauri uwe sawa na bot
Kuna faida za kuishi masaki hazipo mbagala.pia kwako kuna faida anapata uzao wa kwanza hampati ninyi wengine.tuanxie kwako na mkeoNikweli.. but kuna gape kubwa sanaa ya salary, kuna baadhi ya sekta hawana posho.. Af kuna wengina posho wanajiandikia tu wakiishiwa pesa ya bia... Tz hakuna usawa mkuu..
Umethibitisha.. wewe ni mtoa rushwa.Tunawalaumu Bure TRA sometimes susi wenyewe ndo tunawapa izo rushwa kutaka watusaidie
Ukiweka mshahara kama halmashauri kesho pia wenye grade juu vyuo hawataaply traNikweli.. but kuna gape kubwa sanaa ya salary, kuna baadhi ya sekta hawana posho.. Af kuna wengina posho wanajiandikia tu wakiishiwa pesa ya bia... Tz hakuna usawa mkuu..
Sina chuki na wafanyakazi wa TRA bali naongelea uhalisia
TRA ndo inayoongoza kuzalisha mabillionnaire wengi vijana wadogo wanamiaka michache kazini wanamiliki utajiri wa kutishi magari ya kifahari na mahekalu na wafanyakazi wa TRA weekdays anaenda na gari la kawaida mfano wa ict alafu weekend mlimani city unamuona na range rover
Kwa sasa-hivi mabillionaire TRA ni jambo la kawaida na miaka ijayo kwa trend hii TRA kupitia wafanyakazi wake watatoa trillionaire
Kama unataka kuwa billionnaire na baadae trillionnaire pambana uingie TRA kama mfanyakazi kule hutumii nguvu kabisa ni mwendo wa kuiba
Nadhani wengi hawakufamu nini maana ya kula kwa urefu wa kamba.kwa urefu wa kamba, isizidi tu kamba
TPA na TRAKuna jamaa yupo hapo bandari mwana anapiga aiseee ana shusha magorofa tu [emoji23] uku anasemaa hawamu hii ikipitaa ijayo haijulikan itakuwajee hvyo acha tupigee tu .
Anakauli yake ya mama anaupiga mwingi..
Na wote ni wanaccm.Sina chuki na wafanyakazi wa TRA bali naongelea uhalisia
TRA ndo inayoongoza kuzalisha mabillionnaire wengi vijana wadogo wanamiaka michache kazini wanamiliki utajiri wa kutishi magari ya kifahari na mahekalu na wafanyakazi wa TRA weekdays anaenda na gari la kawaida mfano wa ict alafu weekend mlimani city unamuona na range rover
Kwa sasa-hivi mabillionaire TRA ni jambo la kawaida na miaka ijayo kwa trend hii TRA kupitia wafanyakazi wake watatoa trillionaire
Kama unataka kuwa billionnaire na baadae trillionnaire pambana uingie TRA kama mfanyakazi kule hutumii nguvu kabisa ni mwendo wa kuiba
Mbona akina Kakoko walipiga awamu ya Magu?Kuna jamaa yupo hapo bandari mwana anapiga aiseee ana shusha magorofa tu [emoji23] uku anasemaa hawamu hii ikipitaa ijayo haijulikan itakuwajee hvyo acha tupigee tu .
Anakauli yake ya mama anaupiga mwingi..
Kweli Mkoloni Mweupw ana nafuu sana kuliko huyu MweusiHii nchi inaliwa sana..Africa hamna uongozi kuna wajaza nafasi..bora mzungu awe rais na mawaziri pia wawe wazungu..tutatoboa
Hawawezi kurudia kosa, kwa sasa na baadae watakuwa na tahadhari kuliko kawaidaAtakapokuja kiongozi kuwapukutisha account zao naomba kelele zisiwe nyingi
Ndo utasikia; 'Jamaa katafuta kwa jasho lake, lakini wamefunga hadi akaunti zake benki'. Hahahaaaa....Atakapokuja kiongozi kuwapukutisha account zao naomba kelele zisiwe nyingi
Hayo sio maendeleo ya kutisha? Tena hapa Bongo?Kumiliki billion si kazi rahisi. Wengi wao pale wana maendeleo ya kati. Nyumba na gari, akienda sana ghorofa mbili kwenda juu na viwanja. Si maendeleo ya kutisha
Usiwakuze kihihivyo sanaa
Alipoteza muda darasani lazima awe kamwotea kanji parefu, mwizi, muuza ngada, biashara za magendo, pesa ya mbumba kama ginimbi na pesa za urithi.ukiona kijana miaka 30 ni tajiri na alipoteza muda darasani either MWIZII au HELA ZA KURITHI
Unanenepa unapasuka.Miaka 26 huna familia, unamshahara above 2m, Saccos ya ofisi inakukopesha mara 20 sijui 25 ya mshahara wako kwa makato ya 5 years makato ni kidogo kidogo. Hapo kuna overtime, kazi za nje ya mikoa pengine kuna allowance za mafuta, makazi na bonus za hapa na pale.
Ugumu wa maisha unatoka wapi?