TRA inazalisha mabilionea wengi kupitia wafanyakazi wake

TRA inazalisha mabilionea wengi kupitia wafanyakazi wake

Ni kwa sababu ya milolongo isiyo na tija
Mtu anaona anahangaishwa huku na kule,yaani mtu anatengenezewa mazingira magumu ya kupita kihalali.


Na kwanini wapokee rushwa?

Sent using Jamii Forums mobile app
Watanzania wengi hawapendi kufuata utaratibu na anakuambia ni usumbufu.

Kama mtu, mfano, anahitaji eneo la biashara; unamwambia andika barua ya maombi, anakuambia kwani bila barua hawezi kupata? Mara anaomba namba ya simu anaanza kukuchatisha. Ukikumbushia utaratibu wa barua, anakujibu nitakupoza kidogo nipatie eneo.
 
Watanzania wengi hawapendi kufuata utaratibu na anakuambia ni usumbufu.

Kama mtu, mfano, anahitaji eneo la biashara; unamwambia andika barua ya maombi, anakuambia kwani bila barua hawezi kupata? Mara anaomba namba ya simu anaanza kukuchatisha. Ukikumbushia utaratibu wa barua, anakujibu nitakupoza kidogo nipatie eneo.
Si kweli

Tra hutengeneza mazingira ya rushwa na wanaweka ugumu ili mtu akate tamaa atoe rushwa.
Kama unaishi karibu na wafanya biashara wakubwa utakubaliana na mimi.

Na mtu anapokomaa kufuata utaratibu,wanamtengemezea zengwe jingine ili achoke.
Na ikiwa mtu akakomaa hadi mwisho,wanakuambia live lete sh ngapi,,,sasa wakikutana na mtu mjinga ambaye hajui chochote kuhusu hayo mambo ya kodi wanampiga ..
Iwe heri mtu huyo ashtuke na kutaka assist ya mtu ambaye angalau anaelewa chochote.

Mkuu huu ni mfano tu ambao nimeushihudia hivi karibuni.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Si kweli

Tra hutengeneza mazingira ya rushwa na wanaweka ugumu ili mtu akate tamaa atoe rushwa.
Kama unaishi karibu na wafanya biashara wakubwa utakubaliana na mimi.

Na mtu anapokomaa kufuata utaratibu,wanamtengemezea zengwe jingine ili achoke.
Na ikiwa mtu akakomaa hadi mwisho,wanakuambia live lete sh ngapi,,,sasa wakikutana na mtu mjinga ambaye hajui chochote kuhusu hayo mambo ya kodi wanampiga ..
Iwe heri mtu huyo ashtuke na kutaka assist ya mtu ambaye angalau anaelewa chochote.

Mkuu huu ni mfano tu ambao nimeushihudia hivi karibuni.

Sent using Jamii Forums mobile app
Usiseme si kweli wakati ninayaona na ninakutana nayo.
 
Mimi nasema kabisa nimeanza kukwepa kodi vizuri sana.Hii nchi ukiwa mtu wa haki, ukatimiza wajibu wako et kwa kuwa mzalendo...kumbe kuna upande wa pili wanapiga tu hizi pesa, either kwa matumizi mabovu ya serikali...n.k.



Ubaya ni kwamba siku ukikamatwa utafilisika mazima ! [emoji3]

Utauza kila kitu chako kifidie deni la kodi.

Utauza kila kitu upate Hela ya kulipa mawakili.

Utii wa sheria bila shuruti unaondoa madhira mengi sana.
 
wee tukikuweka TRA hutapokea hata mia yarushwa?
Siwezi
Na sitaki kukaa huko maana majambazi watanimaliza.

Inaonyesha wote tayari ni wezi,kwahiyo kukaa na mtu asiye mwizi inaweza kuwa hatari kwake,unabumburua madili yao,wewe pekeyako unagoma kuingia kwenye makubaliano ya upigaji.

Ila siku nakuja kuwa kiongozi hii nchi yaani kabla sijaondoka ntahakikisha nayoosha haya majambazi.
 
Walimu kulipwa tu nauli disemba hii hawalipi.Unakuja kulipwa wa 2,walimu tunadharaulika sana nchi hii,Ila naamini mpaka 2099 wote tutakua tumekufa
 
hao ni masikini tu,una uhakika mali walizochuma baada ya kustafu zitaendelea kuongezeka? au ndoile zinauzwa hovyo na kutaifishwa na mabenki ,hatimaye na wamiliki kukimbilia vijijini? .hao ni masikini bilionea. mtu mwenye uwezo wa kuzalisha milion kazaa na kuwa bilion huyo ndo bilionea tajiri.we sema tu hao wanamiliki ukwasi tu ila sio maTajiri
Uko sahihi. Ni kweli wanapata hela sana. Lakini pia hawakai sana kazini. Kiwango cha kuachishwa kazi TRA ni kikubwa kuliko taasisi nyingine yeyote. Wanajenga mjumba ya kuishi kwa mbwembwe. Kazi zikiisha wanashindwa kabisa kiyahudumia majumba hayo.
 
Back
Top Bottom