Kuna kitu umekisahau hapo kuna EACC act. Hii inaondoa double taxation, hapa gari ikifika Burundi nako kuna kodi zao za Customs, hivyo kupelekea bei kufanana na sisi wa huku.Kwa Toyota IST ya mwaka 2005 yenye CIF value 3,867$ (USD)
Burundi italipiwa kodi - BIF 2,872,440 sawa na TZS 3,245,857.2
Kwa Tanzania gari hiyo kodi yake ni TZS 6,188,420.78
Tofauti ya kodi ni TZS 2,942,563.58 karibu shilingi milioni 3 na ilhali wanapitisha gari kwa bandari yetu
Mtalalamika tu, Watz tunataka kila kitu kiwe BURE.huwa najiuliza, hivi wakishuka kabisa bei, kila mtu akawa na gari, halafu wakapandisha kodi kwenye mafuta, itakuwaje? manake kwa tz kununua gari used ni bei kubwa kuliko hata ulaya na asia.
Mkuu, fafanua vizuri kuhusu hiyo EACC Act. Hiyo kodi nilizoweka kwa Burundi, zinatozwa huko Burundi baada ya gari kufika na sio hapa Tanzania. Hapa Tanzania gari la Burundi linalipa ushuru wa Bandari tuKuna kitu umekisahau hapo kuna EACC act. Hii inaondoa double taxation, hapa gari ikifika Burundi nako kuna kodi zao za Customs, hivyo kupelekea bei kufanana na sisi wa huku.
gari gani toka huko au ni kifaru! 🤣 🤣Mimi nataka kuleta gari kutoka Korea Kaskazini kuleta utofauti kidogo barabarani. Siyo kila mtu na shangazi yake wote mna Mjapan.
hakuna kitu huwa kinanikera kama hiki, hivi hakuna watu wenye ubongo huko wawashauri hii kitu?TRA wala haijawahi kueleweka inataka nini.
Kwa mfano ukiagiza gari mpya kabisa let's say zero Km kodi itakuwa juu sana maana itakokotolewa kulingana na thamani ya bei uliyonunulia gari.
Haya ukisema ujiagizie mkangafu wako napo unakutana na bei ya juu kwenye kodi kwa madai kuwa wanakokotoa na uchakavu kulingana na mwaka ambao gari imetengenezwa.
Binafsi nawashauri waache uboya, bora waweke kodi rafiki kwa gari mpya ili watuhamasishe kuagiza mali piru kabisa kutoka ughaibuni kama kweli wana nia ya kutokomeza gari chakavu nchini.
Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
Hapa ndo mnapokosea. Hawapandishi bei. Ila kila new year inapanda automatically kutokana na age kuongezeka kwenye excise duty due to age. Kama ulichungulia december 2022 gari ya 2010 ilikuwa na miaka 12, ikifika jan 2023 itakuwa na 13 years so excise duty to age itapanda pia and that means cif yote inapanda. Ila ni automatic process sio kuwa wanapandisha makusudi
Epuka matapeli, kodi zote za TRA hupitishwa na BUNGE LA BAJETI na huanza kutumika tar 1/7 ya kila mwaka.
Kabla ya kupost vitu tumieni akili na kichwa kufikiri, sio mnatumia matako yenu kuanzishia mada.
Unamaanisha nini ukisema excise due to age ni limit ya 7 years? Afu lazima ujue gari inavyokuwa ya zamani excise due to age inakuwa kubwa na in most cases inazidi hadi VATMkuu, Pitia vizuri
Exercise duty to Age ni limit ya 7years TU
Hakuna cha miaka 12 wala 10.
Pia Exercise duty to age ni fedha ndogo sana haina effect kubwa kwenye ushuru.
Mfano: Angalia hapa gari ya mwaka 2015 ina Execise duty to Age wakati toka 2015 mpaka leo ni takribani miaka saba (7).
So TRA huwa wanapandisha Customs Value kwenye kikokotoo chao hivyo Commulatively ushuru unaongezeka kwa kuwa percentage zinabaki Costant.
KaribuView attachment 2481294
Mmh🥱🥱🥱Juxi kati, niliangalia V8 ya mwaka 2011 hivi ya bei nafuu, CIF ni kama 55m bali kodi na registration ni kama 88m 🙁 Custom value ni kubwa mno kulinganisha na CIF value.
Alichosema mkuu hapo ni kuwa, TRA kwenye base yao wameweka bei kubwa za gari kuliko uhalisia na hivyo kufanya kodi kuwa kubwa. Yaani uhalisia CIF ni milioni 55 ambayo ndio ingepaswa kuwa msingi (base) wa kukokotoa kodi, lakini TRA unakuta gari hilo wenyewe wameweka CIF kuwa ni milioni 90.Mmh🥱🥱🥱
• Bei ya gari na usafirishaji toka huko mpaka nchini ni 55,000,000..
• Kodi za TRA na bandari na makorokoro mengine 88,000,000..
• Sasa hii difference ya TZS 33,000,000 ilichajiwa toka kwenye pesa gani ya mnunuzi na mlipa kodi huyu wa gari Hilo???
Safi sanaAlichosema mkuu hapo ni kuwa, TRA kwenye base yao wameweka bei kubwa za gari kuliko uhalisia na hivyo kufanya kodi kuwa kubwa. Yaani uhalisia CIF ni milioni 55 ambayo ndio ingepaswa kuwa msingi (base) wa kukokotoa kodi, lakini TRA unakuta gari hilo wenyewe wameweka CIF kuwa ni milioni 90.
Juzi. Kwani mtu akiandika wewe ni mshenxi hutajua anataka kusema nini? Au neno typo lipo nje ya ufahamu wako ?Juxi ndio nini, una umri gani?
+ Uhaba wa USD, gharama itapaa zaidi !!January hii Huku kwenye kikotoo cha TRA Kodi za magari zimepanda maradufu, kabla ya kuagiza jiridhishe na Kodi usije ukatembea unaongea mwenyewe barabarani.
Ila ngoja niulize swali , hivi kwa uchumi wetu wa sasa kuna haja kweli ya kupandisha Kodi za kuingiza magari nchini?
Kusafirisha gari majini bei zipo juu sana almost USD 2000-2500 kwa gari la kawaida?
Kwa ninachokiona TRA watakosa hata hyo kodi waliyokuwa wanaikusanya kwa ajili ya Tamaa, maana kuagiza gari ni gharama sana Watanzania wengi hawataweza kuafford kuagiza magari kutoka japan au kwingineko, na mnyororo wa uchumi utatikisika, mawakala watakosa kazi , spea zitadoda mafuta yenyewe yatauzika kidogo sana , makampuni ya Bima yatafilisika kwani mara nyingi mtu anapoagiza gari ndo anakata Bima kubwa.
Serikali iangalie hili swala la kupandisha kodi hasa kwenye vifaa vya moto bila kuwashirikisha wadau sio vizuri.
Hawa watu hawajui kuwa wakishusha kodi ya magari mapya yatanunuliwa mengi sana na wao watapata kodi kwenye mafuta.Kuna Chevrolet Corvette ya 2012 tumeichek Ushuru hapa. Dah hii nchi bado sana.
View attachment 2744134