Wao watu wazijama wajiongeze. Usha piga kufuri account ya unae mdai.. na unaona hakuna kitu unaendeleaje kuhesabu kodi ?Kiongozi ukifungua biashara alafu ikafa unaandika barua kuwajulisha kuwa biashara yako umeifunga hivyo wasiendelee kukudai tena kodi, lakini biashara ikifa alafu ukakaa kimya wao wanaendela kuhesabu tu kodi yao.
Huenda kuna shida pahala.. ila kwanini watu sasa hivi wana lia sana na TRA ?Umesikiliza vizuri upande wa hao Waturuki?
TRA huenda wakawa hawana shida. Ila kuna maeneo wanatakiwa kuweka sawa. Moja wapo uhusiano mzuri kati yao na walipa kodi, wawe pia wanajua uharisia wa walipa kodi wao. Mfano Muuza vyakula jumla jumla na Mkadandarasi katika namna ya uingizaji wa pesa kwa hawa watu ni tofauti .. lazima waelewe mazingira ya hawa watu.. ila uki treat wote sawa utau tuKabla hujafanya biashara ya halali, ufanye utafiti kwanza! Usishindwe wewe, ukaanza kulaumu TRA. Umesema biashara haikufanya vizuri kwa sababu ya eneo! Je! Na hilo ni kosa la TRA?
Mkuu, alichoongelea naona kwako ni kitu kikubwa kinakushinda kuelewaUnajua maana ya biashara?
Elimu ni shida sana!! niambie biashara gani yenye mtaji wa Billion 2 kuendelea unatokana na purely na mtaji wa muanzilishi?Na wasiporudi hao Waturuki itakuwaje?
READ! Taarifa inasema Waturuki wamekosa mkopo wa benki za ndani
Maana yake hawakuja na mtaji!
Ndio haya Marehemu Mengi alikuwa anayasema wakati ana bifu na Wahindi, walikuwa wanamwambia tumekuja na briefcase la makaratasi ya business plan za kutajirikia hapa hapa kwenu! Yani sisi ni vichwa panzi.
Magufuli fukuza hao Waturuki!
Thank God Almighty tumepata kichaa mzalendo Ikulu hapapatikii wazungu, hafagilii wageni!
ALHAMDULLILAH ALA KULLI HAAAL HADHA MIN FADLI RABBI
TRA wanamuangusha sana RAIS na huenda kwa hili wana muhujumu wakifikiri wanafanya kazi vizuri kumbe wana haribuMkuu umenena kitu cha maana sana. Kinachotokea ni elimu duni itolewayo na TRA na hao TRA kushindwa kuwa na common sense. Mtu kama hafahamu aelimishwe then afuate utaratibu. In fact TRA inahitaji mtu kama Dkt Magufuli, yaani mbunifu na mwenye maono.
Mwisho wa siku zitabaki kampuni za meko tu.View attachment 1650531
sisi kama tiaraei tukiangalia wadaiwa sugu, anaefuata ni wewe!!!
Wa kukuahiji SI ndio hao wenye makampuni wanaobanwa na kufunga biashara zao utaajiriwa wapi.Leo nimeamka asubuhi nime tengeneza CV . Nasubiri mchongo tu.. [emoji3][emoji3][emoji3] kujiajiri inahitaji moyo sana. Badala ya kupata suport kwao..wana kukalia kooni..
Watamhujumu sana na pesa nyingi wanakula wao binafsi haziendi Serikaliniπππ TRA waangalie maana hata nyuzi zao kibao humu.. kuna mahala hapako sawa, huenda wakawa wana muhujumu Rais
Ndiko tunakoelekea sasaMwisho wa siku zitabaki kampuni za meko tu
Ule msemo wa acheni kufikiria kuajiriwa mjiajiri ni upotoshaji mkubwa, ni bora uwe umeajiriwa na umejiajiri ili upande mmoja ukiyumba huku upande mwingine una balanceLeo nimeamka asubuhi nime tengeneza CV . Nasubiri mchongo tu.. [emoji3][emoji3][emoji3] kujiajiri inahitaji moyo sana. Badala ya kupata suport kwao..wana kukalia kooni..
Na pia mkopaji huwa ametoa ajila kwa watanzania lazima ule mkopo uzingatie idadi ya wazawa na pia hakuna kampuni inaruhusiwa kusajiliwa pasipo kuwa na mzawa ndani yake kama dhamana ya mwekezajiMtu kama wewe ukiajiriwa TRA ndio unaenda kufunga ofisi za wawekezaji kwa sababu ya umbumbu wako
Nani aliyejuambia muwekezaji toka nje ya nchi haruhusiwi kukopa katika local bank
Lakini pia hapa Tanzania zipo bank za nje zimefungua matawi hapa Tanzania
Bank Huwa zinaangalia faida hivyo zinamkopesha mtu yoyote endapo wakiona watapata faida
Kwenye kujiajiri TRA anakuvuruga sasa lazima watu warejee kuajiriwa tenaUle msemo wa acheni kufikiria kuajiriwa mjiajiri ni upotoshaji mkubwa, ni bora uwe umeajiriwa na umejiajiri ili upande mmoja ukiyumba huku upande mwingine una balance
Hii muhimu mkuu. Hapa nilipo natafuta kazi.. πππ. Nijipange upya tena maanaUle msemo wa acheni kufikiria kuajiriwa mjiajiri ni upotoshaji mkubwa, ni bora uwe umeajiriwa na umejiajiri ili upande mmoja ukiyumba huku upande mwingine una balance
Basi ngoja niwe mpigaji tu... maana hakuna namna.. mdomo wangu iwe ofisi yanguWa kukuahiji SI ndio hao wenye makampuni wanaobanwa na kufunga biashara zao utaajiriwa wapi.
NGo zenyewe awamu hii zinadaiwa kod mfano shule ya St.Jude Arusha.
Tujipange.
Ndio hivyo mkuu Ni kuunga tela tu Sasa hiviBasi ngoja niwe mpigaji tu... maana hakuna namna.. mdomo wangu iwe ofisi yangu
Kutokutetemeka kwa Nyerere mbele ya hao uliowataja ndio kulisababisha tuvae viraka, na kupiga mswaki kwa chumvi.Basi kabla hawajaja wangetumia hizo equipment zao zenye thamani ya collateral kuomba mkopo KWAO!
Hawakopesheki kwao wanadhani watakuja kupeta kwenye mabenki ya wendawazimu wa Afrika.
Wamekutana na ngoma ngumu Ikulu...
Julius Nyerere, aliyekuwa hatetemeki mbele ya Mzungu, Mwarabu na Mkenya, amefufuka katika wafu.
Mimi ajira sikuitupa nilikua naangalia upepo, nimeona upepo unavyovuma nimeielewa situation wanayoipitia wafanyabiasharaHii muhimu mkuu. Hapa nilipo natafuta kazi.. [emoji2][emoji2][emoji2]. Nijipange upya tena maana
MUONGO MKUBWA!Labda akili yako haifanyi kazi. Investor anasoma TIC incentives ndiyo anakuja kuwekeza Tanzania. Unafikiri angejua hayo yote angekuja kuwekeza huko ujimani? Moja ya incentive ya kuwekeza ni kukopeswa (kuwezeshwa) kama una equipment. Watu kama nyie huwa mnajielewa kweli mnaishi dunia gani?