TRA yaendelea kumkaba koo Toufiq Salum Turky kodi ya gari milioni 308.5

Ile system wanachopeka wanavyojiskia
 
Viongozi wa serikali wanamuonea wivu, wanataka wao tu ndiyo watumie magari ya kifahari kwa kutumia Kodi zetu!

Kwa taarifa yako wabunge hawanunuliwi magari na serikali bali wanapewa mikopo kwa wale wanaohitaji!
 
Tatizo lako umejaa uchawi na roho mbaya
 
Kuna shida gani ya kupewa muda wa kulipa Kwa awamu?
 
hapana, nchi bado inaamini gari ni anasa, na gari inatakiwa kumikiwa na matajiri tu, nankununua gari inamaanisha una pesa hazina kazi
Ndio utaahira wenyewe huo, watumishi wa Umma wanataka kushindana na wafanyabiashara kuishi maisha ya anasa..

Na Ili kuwakomesha hao wafanyabiashara ndio maana wanawawekea vikwazo na usumbufu mkubwa sana.
 
Inasikitisha sna jmn mam Ni Bora uchukiwe na wote Ila kuwa na msimamo duh inchi hii Ina endeshwa kwa kelele na mlkila kitu kilalmikiwe

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Inabidi watu wenyewe waamue. Waorodheshe vyanzo vya mapato na kiasi gani na vitu gani vifanywe na vipi visifanywe maana hata shule za uma ni bure. So tuamue nani alipe kodi na nani asilipe kodi.
 
Wanaofanya hivyo kwanza hawana logic ila ni njia ya watumishi wa Umma kutaka kushindana na wafanyabiashara
 
Watu wa namna hiyo wapo wngapi? Wapunguze mav8 hapo ndio kweli tutaona nia ya dhati
 
Kwa taarifa yako sio magari tuu ya kifahari hata magari ya kawaida Kodi huwa ni kama theluthi ya thamani ya gari,huu ni wehu.
 

Kweli kabisa mkuu
 
Hayupo bado wanalazimishwa visheria visivyo tija.Sheria iendane na mazingira, zamani gari ndio ilikuwa anasa sio siku hizi

Sijui kwanini marais wote waliopita na wa sasa hawalizungumzii suala hili, wamelikariq kimyaa, inakera mno mno babaa.

Mkuu, nikuombe tuu, anzisha mada kuhusu suala hili la kushusha kodi/ushuru wa magari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…