TRA yaendelea kumkaba koo Toufiq Salum Turky kodi ya gari milioni 308.5

Umenene vyema sana mkuu watu Happ wanaongeaongea eti kod kubwa alfu gar imeagizwa kupitia kampuni

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
I
Gari kashapewa na usajili juu. Yuko nalo nyumbni.. eti hatakiwi kuliendesha hadi analizë kodi.tajir ni Tajir tu
 
Baba yake huyu Kijana ndio aligharimia safari ya Tundu Lissu kutoka Dodoma hadi Nairobi na kuchangia jumla ya Dola laki moja wakati huo (2017)

Mungu amrehemu Mbunge huyo wa Zamani Hayati Turky
Lbda bas serekali inamkomoa makusudically kwa kitendo hcho Cha Bab yake kwenda kinyume na maelekezo ya jiwe

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Babu inachanganya Sana sijui mitanzania ikoje humu wanaongeaongea utadhani kila mtu Ana gar kumbe hmn kitu

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Inawezekana kabisa Kodi ya gari Tanzania inaanzia robo ya thamani ya gari mpak Muda mwingine inazidi thamani n vizuri watu kucalculate kwenye calculator Yao tra IPO kwenye website mfano Kuna gari Moja inaitwa jaguar nilifatilia inauzwa million 50 Kodi yake ikawa million 100 hii Ndo nchi yetu mzee.
 
Sahih kbsa walime Kodi haswa mambo ya kifahar ipigwe kod vzr

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Alikuwa mwanaccm bora kabisa mwenye roho nzuri aliyemdhamini Tundu Lissu Ndege iliyompeleka Nairobi.
Let the family be blessed
Kumbe kisa alimtete lissu ndio maana mnalia asamehewe Kodi ? No Dr saada Kaz hapohapo Kama vip nitume nikalichukue lirudi yad had Kodi ilipwe yote

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Babu inachanganya Sana sijui mitanzania ikoje humu wanaongeaongea utadhani kila mtu Ana gar kumbe hmn kitu

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Ni ajabu mkuu. Maskini wanalalamika eti tajiri katozwa kodi kubwa kwa kuingiza gari la kifahari ambalo bei yake ni zaidi ya nusu bilioni! Tena mtu mwenyewe alitaka kufanya ujanja ujanja aingize bure serikali ikagundua. Wanataka nini sasa? Waendelee kulipa tozo huku matajiri wakiingiza magari ya kifahari bila kodi?
 
Inasikitisha kwa Kweli nimeshasema matahir wengi Ni wahujumu uchumi hvyo wasiachwe kirahis rahis na sehemu ya kuwapata Ni ktk Kodi za mambo ya ya kifahari tu hkn namna

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…