Mie nilitegemea magari madogo yote yangeshushwa kodi na kuwa mil 3.5 chini ya CC 1500 ili wakushanye kodi zaidi ila mtanzania nayeye aone serikali yake inamjali nchini kwake mambo rahisi
Ila hichi walichokifanya ni kupoteza mapato mengi mno tofauti na mategemeo yao,kumiliki Gari ni ndoto ya watu wengi ila Serikali yetu sio rafiki kwa Raia wake,wachache wanaoshiriki wanakisea sana as kama hawajii maisha ya Mtanzania.
Hata hayo makubwa pia hakuna sababu ya kuweka kodi kubwa unamkomoa nani? Alaf kodi ya Magari Serikali inapokea tu pesa kutoka kwa Mwananchi hakuna inachopoteza
Ila pia wajitafakari TRA kuna malalamiko mengi sana ya kodi kipindi hiki tena sana Mtanzania kawa kama mtoto wa kambo kwa nchi yake
Ila hichi walichokifanya ni kupoteza mapato mengi mno tofauti na mategemeo yao,kumiliki Gari ni ndoto ya watu wengi ila Serikali yetu sio rafiki kwa Raia wake,wachache wanaoshiriki wanakisea sana as kama hawajii maisha ya Mtanzania.
Hata hayo makubwa pia hakuna sababu ya kuweka kodi kubwa unamkomoa nani? Alaf kodi ya Magari Serikali inapokea tu pesa kutoka kwa Mwananchi hakuna inachopoteza
Ila pia wajitafakari TRA kuna malalamiko mengi sana ya kodi kipindi hiki tena sana Mtanzania kawa kama mtoto wa kambo kwa nchi yake