TRA yafafanua ongezeko la ushuru wa magari

Mie nilitegemea magari madogo yote yangeshushwa kodi na kuwa mil 3.5 chini ya CC 1500 ili wakushanye kodi zaidi ila mtanzania nayeye aone serikali yake inamjali nchini kwake mambo rahisi

Ila hichi walichokifanya ni kupoteza mapato mengi mno tofauti na mategemeo yao,kumiliki Gari ni ndoto ya watu wengi ila Serikali yetu sio rafiki kwa Raia wake,wachache wanaoshiriki wanakisea sana as kama hawajii maisha ya Mtanzania.

Hata hayo makubwa pia hakuna sababu ya kuweka kodi kubwa unamkomoa nani? Alaf kodi ya Magari Serikali inapokea tu pesa kutoka kwa Mwananchi hakuna inachopoteza

Ila pia wajitafakari TRA kuna malalamiko mengi sana ya kodi kipindi hiki tena sana Mtanzania kawa kama mtoto wa kambo kwa nchi yake
 
Duuh hii kubwa kuliko!

Na bahati mbaya magari huwa hayaandikwi mwezi na tarehe halisi ya kutengenezwa kwake bali huandikwa mwaka gari lilipo tengenezwa. Kwahiyo mwaka ukibadilika tu, tayar TRA wanakusanya mara mbili ya kodi kama umri wa gari unakua ule unao elekezwa kisheria.

Yote haya yanatokana na TRA kutokutoa elimu sahihi kwa walipa kodi.Wanatuvizia kwenye ujinga wetu na kututoza pesa ambazo hatukujiandaa nazo
 
Kisichoeleweka hapo ni nini, amesema kuwa ushuru unatozwa kulingana na umri wa gari, kwa walioagiza magari mwishoni mwa mwaka jana yakafika mwaka huu, ni dhahiri kuwa mwaka umeongezeka na ushuru inabidi upande kwa kuwa kama gari ilikua na miaka 8 mwishoni mwa mwaka jana kwa sasa sio nane tena ni 9 .. kwa hapa Uganda kama ilikua na miaka 14 isingewezekana tena kuingiza nchini kwakuwa kwakuwa nchi hairuhusu magari chakavu yaliyozidi miaka 15 .. Mi5 tena [emoji109][emoji109] ..
 

Sio kweli ukiingia kwenye google andija JP CENTER unaingiza aina ya gari na chassis ya gari inakuonesha gari imetengenezwq mwezi gani na customs wanaitumia hiyo
 
Lakini gari si iliagizwa katika quater ya mwisho wa mwaka kwanini wali treat kama limeagizwa mwaka mpya?
 

Mnapoambiwa kuishi kishetani ndiko huko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…