Mmmh ni rafiki yangu Sana sana, hela imekata nyingine hadi nimemkopesha, maana ana miradi mitatu yote nyokoo imemmalizia hela, anajenga ghorofa, Yuko kwenye michakato ya kuoa, na kaagiza na hilo dude Japan [emoji848][emoji134][emoji134] imagine hapo! Mwana lazima presha ipande!
Kibaya zaidi mi ndo nilipendekeza achukue huo mdude, maana magari hayajui vizuri na michakato yote nimemfanyia mimi ( ndo gari lake la kwanza) jana tulikuwa wote naona hana hata habari na mimi nimekausha ndinga ndo iko njiani inafika two weeks ahead...atalaumu kinoma[emoji848][emoji848]