JABALI LA KARNE
JF-Expert Member
- Apr 19, 2021
- 3,093
- 5,850
Akili kubwa.Nafikiri huu utaratibu unatakiwa uwe wa kimahakama na kisheria na sio utashi wa TRA.Kodi inapokuwa ni deni basi ipelekwe mahakamani kama kesi ya madai na iendeshwe kama kesi ya madai.Kama kesi ni Kukwepa kodi basi ifanywe kama Jinai.
Kweli tupu,wafanyabiashara wengi,ni mikopo,sio mali zao.Wewe ni binadamu mwongo, fanya utafiti ikiwezekana fanya biashara.
Utaratibu wa kodi ni kukadiriwa au kujikadiria. Wanaojikadiria wanapeleka hesabu kila mwaka wa biashara, Kuna mashine za mauzo kwa aliyekuuzia na ww unayenunua. Kwa mfumo huu huwezi kwepa kodi kwa muda mrefu usikamatwe. Ukwepaji upo ila si wa mda mrefu utadakwa tu.
Tatizo ni kutaka kodi isiyo halali, mtu ana mali kauli kapewa auze, anauza anabakiwa na kafaida anarudisha pesa za watu, ww TRA unaona mzunguko wa m900 kwa mwezi kwenye account unahisi mtu anatengeneza pesa na ana pesa unataka kodi kubwa. Kumbe kwenye m900 mtu anachobaki nacho ni m3 zingine zote si zake.
Wewe unataka kodi nyingi au kodi halali?TRA toeni data za makusanyo ya kodi kwa March na April.
Muda utaongea. Kama staili hii ya kukusanya kodi kwa wabongo kwa kubembelezana inatufaa au haitufai, namba zitatuambia. Kama makusanyo ya kodi ya TRA kwa mwezi yatabaki tarakimu hizo hizo au kupanda angalao kidogo, basi utaratibu huu ni mzuri na wa kupongezwa. Kama makusanyo ya kodi kwa mwezi yataporomoka, basi utaratibu huu wa kujadiliana na kubembelezana kwa wabongo hautufai na itabidi utaratibu wa awali urejeshwe. Lakini ninavyowajua wabongo mhhhh, ngoja tusubiri na wala tusije tukasingizia corona!
Umeandika upuuzi mtupu hujui tofauti ya income/corporate tax na VAT inavyokusanywa.Wewe ni binadamu mwongo, fanya utafiti ikiwezekana fanya biashara.
Utaratibu wa kodi ni kukadiriwa au kujikadiria. Wanaojikadiria wanapeleka hesabu kila mwaka wa biashara, Kuna mashine za mauzo kwa aliyekuuzia na ww unayenunua. Kwa mfumo huu huwezi kwepa kodi kwa muda mrefu usikamatwe. Ukwepaji upo ila si wa mda mrefu utadakwa tu.
Tatizo ni kutaka kodi isiyo halali, mtu ana mali kauli kapewa auze, anauza anabakiwa na kafaida anarudisha pesa za watu, ww TRA unaona mzunguko wa m900 kwa mwezi kwenye account unahisi mtu anatengeneza pesa na ana pesa unataka kodi kubwa. Kumbe kwenye m900 mtu anachobaki nacho ni m3 zingine zote si zake.
MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA), imezifungulia akaunti zote za wafanyabiashara ilizokuwa zimeshikiliwa kutokana na madeni ya kodi
Hao ndio SUKUMA GANG.Hayo yamesemwa leo mjini Morogoro na Mkurugenzi wa Elimu kwa Umma wa (TRA), Richard Kayombo, wakati akitoa mada kwenye Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Jukwaa la Wahariri (TEF).
Kayombo amesema hivi sasa mamlaka hiyo inaingia mikataba ya makubaliano na wafanyabiashara hao wenye madeni ili walipe kwa utaratibu maalum.
Amesema sheria inairuhusuTRA kushikilia akaunti ya mtu yeyote ambaye anadeni la kodi kama njia ya kupata fedha ambazo serikali inadai.
Lakini Kayombo amesema uamuzi wa kushikilia akaunti ya mfanyabiashara huwa ya mwisho kabisa baada ya njia zingine zote kama majadiliano kushindikana.
"Sikawaida kushikilia akaunti ya mfanyabiashara na uamuzi huu mara nyingi unakuwaga wa mwisho kabisa baada ya jitihada zingine kushindikana ikiwemo majadiliano na mhusika," amesema Kayombo
"Tumeamua kuziachia hizi akaunti ili sasa tuwe tunakaa mezani na kujadiliana na wafanyabiashara wenye madeni namna bora ya kulipa taratibu taratibu na tunaachana na ule wa kushikilia akaunti zao," amesema Kayombo
Chanzo: NIPASHE
MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA), imezifungulia akaunti zote za wafanyabiashara ilizokuwa zimeshikiliwa kutokana na madeni ya kodi
Hayo yamesemwa leo mjini Morogoro na Mkurugenzi wa Elimu kwa Umma wa (TRA), Richard Kayombo, wakati akitoa mada kwenye Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Jukwaa la Wahariri (TEF).
Kayombo amesema hivi sasa mamlaka hiyo inaingia mikataba ya makubaliano na wafanyabiashara hao wenye madeni ili walipe kwa utaratibu maalum.
Amesema sheria inairuhusuTRA kushikilia akaunti ya mtu yeyote ambaye anadeni la kodi kama njia ya kupata fedha ambazo serikali inadai.
Lakini Kayombo amesema uamuzi wa kushikilia akaunti ya mfanyabiashara huwa ya mwisho kabisa baada ya njia zingine zote kama majadiliano kushindikana.
"Sikawaida kushikilia akaunti ya mfanyabiashara na uamuzi huu mara nyingi unakuwaga wa mwisho kabisa baada ya jitihada zingine kushindikana ikiwemo majadiliano na mhusika," amesema Kayombo
"Tumeamua kuziachia hizi akaunti ili sasa tuwe tunakaa mezani na kujadiliana na wafanyabiashara wenye madeni namna bora ya kulipa taratibu taratibu na tunaachana na ule wa kushikilia akaunti zao," amesema Kayombo
Chanzo: NIPASHE
Mlikuwa mmezifungia ili 10% yenu iingie.TRA sasa wanavunja sheria; mkwepaji wa kodi anapaswa kupata staili yake
Hili swali ni la kiwango cha Bunge,sasa subiri bungeni kunavyoulizwa maswali ya Vibamia.Katika gazeti la mwananchi, TRA wamefungulia accounts za wafanyabiashara zilizokuwa zimefungwa
Accounts zilikuwa na mabilioni ya fedha lakini unarudishiwa account inasoma zero ,haina hata senti tano
TRA wanasema fedha zilitumika kulipa taasisi zilizokuwa zinaidai serikali
Imagin serikali inapora fedha za wananchi halafu inazifanyia matumizi yake,inalipa madeni
Serikali ya mwenda zake ilikuwa inawanyanyasa wananchi kwa kisingizio cha kodi,
Je lini serikali itarejesha fedha hizo kwenye account za wafanyabiashara ili wafanyabiashara wazifanyie biashara zao?
Alikuwa primitive zaidi ya hapo.Ulikuwa utawala primitive. Magufuli alistahili kuwa kiongozi karne ya 17. Kwa karne hii alikuwa totally misfit. Ndiyo maana alikuwa anaonekana ni kiongozi primitive.
Pumbavu Panzi Wewe....!!! Kwa hiyo una Akili kuliko TRA na Serikali siyo??? Pumbavu kabisaTRA sasa wanavunja sheria; mkwepaji wa kodi anapaswa kupata staili yake
Kuna mtu kauliza akaunti ikifungwa ndio na fedha zinachotwa?Kisheria TRA walikuwa SAHIHI NA PESA HAZITORUSHIDISHWA NA KAMA KUNA MADENI KWA HAO WALIPA KODI LAZIMA WATAYALIPA TU. HAKUNA SHORTCUT KWENYE KODI HATA RAIS AWE NANI.
Cha muhimu uhai tu
Pia kuna fedha na vifaa vilivyoporwa kwenye bureau de change virudishwe kwa wenyewe. Mwendazake alikuwa mtu mwovu sana. Kinachonishangaza kuna watu watu walikuwa wanampenda! Mungu mwema sana!Hili swali ni la kiwango cha Bunge,sasa subiri bungeni kunavyoulizwa maswali ya Vibamia.