njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
Kwani anasema uongo ndg yangu? 'Muniombeee'Mkuu erthrocyte yani unaongoza kwa kutafta habari zenye mlengo hasa wa kuonyesha taswira mbaya kwa serikali kuwa eti " hali ni mbaya"
Hongera kwa hilo[emoji23][emoji23][emoji23]
Hii ni platform huru koment na kupost unachona inafaa.yani huyu dada hajawahi post eti "magufuli awanyoosha mabeberu...." mwikoooo yeye yale mabaya tu ,daah kuna watu wanaroho ngumu aisee πππππ
Hivi hawa watu kwanini hawatushirikishii Wameshindwa kujkusanya koldi ya mashamba, majuumba, vijwanja, mifugo, nkShule ya St. JUDE wameifungia account zao kisa hawakupeleka watoto wao kwenye kampeni za CCM, kuimba mapambio kama shule nyingine.
Hii nchi kumpa huyu dereva lesseni ya kutuendesha, tumeingia chaka.
1) Mwenye kampuni ya kutembeza watalii, alipie kampuni yake kodi.
2) Na hayo magari yake ya kampuni ya watalii, alipie kodi.
3) Gari likiwekewa mafuta, unakutana na kodi.
4) Dereva nae, alipe kodi lesseni yake na ajira yake sambamba na kodi ya Trafic Police (Vijana wa kukusanya mapato TRA).
5) Mwenye hoteli wanaofikia watalii hao (Pengine mwenye kampuni ya utalii ndio hoteli yake pia), alipe kodi. Ndani ya hio hoteli yake anayoilipia kodi, chumbani kitanda nacho kikilaliwa, kilipiwe kodi.
Halafu serikali tunaambiwa haina hela. Shabaashi.
Wasisahau na KODI YA KUTUMIA VYOO KWA WATALII (Kama Vyoo Vya Kulipia Standi Za Bus).
Warudishe kodi ya kichwa uelewa mojKodi ya kitanda atakacholalia mtalii hii ni Noma Ila kila nchi ina mifumo yake ya kodi
Wakuu wangu anaejua taifa linaelekea wapi naomba anipe jibu,Shule ya St. JUDE wameifungia account zao kisa hawakupeleka watoto wao kwenye kampeni za CCM, kuimba mapambio kama shule nyingine.
Hii nchi kumpa huyu dereva lesseni ya kutuendesha, tumeingia chaka.
1) Mwenye kampuni ya kutembeza watalii, alipie kampuni yake kodi.
2) Na hayo magari yake ya kampuni ya watalii, alipie kodi.
3) Gari likiwekewa mafuta, unakutana na kodi.
4) Dereva nae, alipe kodi lesseni yake na ajira yake sambamba na kodi ya Trafic Police (Vijana wa kukusanya mapato TRA).
5) Mwenye hoteli wanaofikia watalii hao (Pengine mwenye kampuni ya utalii ndio hoteli yake pia), alipe kodi. Ndani ya hio hoteli yake anayoilipia kodi, chumbani kitanda nacho kikilaliwa, kilipiwe kodi.
Halafu serikali tunaambiwa haina hela. Shabaashi.
Wasisahau na KODI YA KUTUMIA VYOO KWA WATALII (Kama Vyoo Vya Kulipia Standi Za Bus).
Wameharibu shughuli zetu sasa inaingia mfukoni mwetuKamishna Mkuu wa TRA Dkt. Edwin Mhede amepokea orodha ya huduma za malazi iliyoboreshwa 2020 kutoka kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii Dkt. Aloyce Nzuki ili kuiwezesha TRA kukusanya tozo ya Kitanda Siku kutoka kwa Watalii wanaotumia huduma za malazi.
View attachment 1641829
Hii ni katika harakati za kuongeza mapato
Kama sikosei wakat wa kikwete alikuwa na kipindi TBC( Enzi hivo ni TVT) kila ijumaa ya mwisho wa mwezi halikuwa anaruka live kutoa hutuba na mda mwingne wanaruhusu sim za maswali. Nais itakuwa vyema kama na huyu akianzisha hiyo programWakuu wangu anaejua taifa linaelekea wapi naomba anipe jibu,
OMBI ebu jpm kila mwezi tenga mda ikiwezekana uwe unajitokeza hapa jf hutujibu maswali yetu hapa, tutazuia kebehi na matusi ,ila tu utujibu,maswali yetu na swali la msingi ni kwamba hivi kweli mpaka mda huu taifa lipo kwenye mstari upi, na je haya yanayosemwa yana baraka za mamlaka za juu au ni baadhi ya watumishi wanakuhujum
sikubaliani na hilo mkuuKuna habari hutafuti bali zinakutafuta zenyewe
πππTunasubiri kodi ya papuchi πππ za mafungu
ππππ umeona unilipue sioπππMzee baba endelea kusifu na kuabudu,wenye mamlaka watakuona aisee.View attachment 1641887
na wewe ni walewale??Wewe leta za taswira nzuri, zote ni habari
lakni kwani upinzani maana yake upinge kila kitu mkuu??π€Msijisahaulishe nini maana ya upinzani. Unategemea chama kikuu cha upinzani kiisifu serikali inayoundwa na chama pinzani kwake?!
ππππππKwani anasema uongo ndg yangu? 'Muniombeee'
Kwani hili baya, kupeana taarifa kuwa kuna kodi ya Kitanda Siku nayo nongwa au ni wakala wa mabeberu? Jamani kuweni na akili hata kidogo basi.yani huyu dada hajawahi post eti "magufuli awanyoosha mabeberu...." mwikoooo yeye yale mabaya tu ,daah kuna watu wanaroho ngumu aisee πππππ